< Zaburi 98 >

1 Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
Hina Gode da ninima liligi noga: idafa hahamoiba: le, Ema nodone gesami gaheabolo hea: ma! Ea hadigi gasa amoga fawane E da hasalasi dagoi.
2 Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
Hina Gode da Ea Hisu hasalasi amo sisa: i lai. Ea da Ea gaga: su gasa amo fifi asi gala ilia dawa: digima: ne hamoi.
3 Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
E da Isala: ili dunu ilima Ea mae fisili asigi hou da ilima dialoma: ne sia: i. Amola E da ea ilegele sia: i didili hamoi. Fifi asi gala dunu huluane da ninia Gode Ea hasalasisu hou amo huluane ba: i dagoi.
4 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
Osobo bagade fifi asi huluane! Hina Godema nodone gesami hea: ma! Ema nodone gesami hea: ma amola nodoiba: le wele sisia: ma!
5 mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
Hina Godema nodone gesami hea: ma! Sani baidama duni, Hina Godema nodone sia: ma.
6 kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
Ninia Hina Bagade Godema nodone dalabede duni amola fulabosu hono amo fulabosa, nodone wele sia: ma.
7 Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
Hano wayabo bagade! Di ganodini esalebe liligi huluane, huma! Amola osobo bagade di da: iya dialebe liligi huluane nodone gesami hea: ma!
8 Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
Hano amola agolo huluane dilia da Gode Ea midadi aligili, dilia lobo fane, Hina Godema nodone gesami hea: ma.
9 vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.
Bai E da osobo bagade fifi asi huluane ouligimusa: maha. E da defeledafa Ea moloi fofada: su amoga fifi asi gala huluane ouligimu.

< Zaburi 98 >