< Zaburi 97 >

1 Bwana anatawala, nchi na ifurahi, visiwa vyote vishangilie.
上主為王,願大地踴躍,無數島嶼,也都要歡樂!
2 Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
雲彩和黑暗包圍在祂的四週,正義與公道支持祂的座位。
3 Moto hutangulia mbele zake na huteketeza adui zake pande zote.
烈火在祂前面先行,焚燒祂四周的敵人。
4 Umeme wake wa radi humulika dunia, nchi huona na kutetemeka.
祂的閃電照亮塵寰,大地一見就戰慄搖搣。
5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana, mbele za Bwana wa dunia yote.
面對上主普世的主宰,大山要像蠟燭一般溶解。
6 Mbingu zinatangaza haki yake, na mataifa yote huona utukufu wake.
蒼天宣揚祂的公道,萬民目睹祂的光耀。
7 Wote waabuduo sanamu waaibishwa, wale wajisifiao sanamu: mwabuduni yeye, enyi miungu yote!
願所有拜偶像,以邪神自誇人受辱,願所有的神祗,都俯伏在祂面前叩首。
8 Sayuni husikia na kushangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.
上主,因您的宣判,熙雍聽見了便笑,猶大各城高興歡躍。
9 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote; umetukuka sana juu ya miungu yote.
上主,您在普天下是最尊貴的,您在眾神中是最崇高的。
10 Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
上主喜愛那惱恨罪惡的人,保護虔誠人們的生命,從惡人手中拯救他們。
11 Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
光明已升起照耀義人,賜喜樂於人地正直的人。
12 Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.
義人,請因上主而歡欣,請您們讚美祂的聖名。

< Zaburi 97 >