< Zaburi 97 >

1 Bwana anatawala, nchi na ifurahi, visiwa vyote vishangilie.
Osobo bagade, hahawane nodoma! Hina Gode da Hina Bagadedafa! Hano wayabo bagade ganodini oga dialebe gala! Dilia da nodoma!
2 Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
Mu mobi amola gasi da E sisiga: sa. E da moloidafa amola moloidafa fofada: su amoga ouligisa.
3 Moto hutangulia mbele zake na huteketeza adui zake pande zote.
Lalu da Ea midadi bisili ahoana, Ema ha lai dunu E sisiga: le aliligi amo nene ahoa.
4 Umeme wake wa radi humulika dunia, nchi huona na kutetemeka.
Ea da: gini gala: be amoga osobo bagade huluane da digaga: la: sa! Amola osobo bagade da amo ba: sea yagugusa.
5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana, mbele za Bwana wa dunia yote.
Agolo huluane da osobo bagade Hina Gode Ea midadi gamali ulagisia daeane dabe agoai ba: mu.
6 Mbingu zinatangaza haki yake, na mataifa yote huona utukufu wake.
Hebene da Ea moloidafa hou amo olelesa, amola fifi asi gala huluane da Ea hadigi amo ba: sa.
7 Wote waabuduo sanamu waaibishwa, wale wajisifiao sanamu: mwabuduni yeye, enyi miungu yote!
Ogogole ‘gode’ huluane da Hina Gode Ea midadi begudusa, amaiba: le dunu huluane ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadobe da gogosiasu fawane ba: mu.
8 Sayuni husikia na kushangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.
Hina Gode! Saione fi dunu amola Yuda moilale gagale fi dunu da hahawaneba: le nodosa. Bai Dia fofada: su hou da moloidafa.
9 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote; umetukuka sana juu ya miungu yote.
Hina Gode Bagadedafa! Di da osobo bagade fifi asi gala huluane Ouligisudafa. Di da ogogole ‘gode’ amo huluane baligi dagoi.
10 Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
Hina Gode da nowa da wadela: i hamosu amo higabe, ilima nodosa. E da Ea dunu ilia esalusu amo gaga: sa. Wadela: i hou hamosu dunu ilia gasa amoga Ea fi dunu wadela: lesisa: besa: le, E da ili gaga: sa.
11 Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
Hadigi da moloidafa dunu amodili diga: sa. Amola hahawane hou da noga: i dunu amodili diga: sa.
12 Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.
Molole hamobe dunu dilia huluane da Hina Gode Ea hahamobe hou amo dawa: le, hahawane ba: ma! Hadigi Gode Ea hamobe bu dawa: ma amola Ema nodone sia: ma!

< Zaburi 97 >