< Zaburi 96 >

1 Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
Hina Godema gesami gaheabolo hea: ma! Osobo bagade fifi asi gala huluane! Hina Godema gesami hea: ma!
2 Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
Hina Godema gesami hea: le hahawane nodone sia: ma! Eso huluane Ea nini gaga: i sia: noga: idafa amo sisa: i lama!
3 Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
Fifi asi gala ilima Ea hadigi amo dili ima! Fifi asi gala dunu huluanema Ea gasa bagade hou hamobe dili ima.
4 Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
Hina Gode da bagadedafaba: le, Ema baligili nodomu da defea. Eno ‘gode’ da gudulisili, Ema fawane da baligili nodone dawa: mu da defea.
5 Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
Eno ‘gode’ fifi asi gala amoga galebe da ogogole ‘gode’ fawane, be Hina Gode da Hebene huluane hahamoi.
6 Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
Hadigi amola baligili gasa bagade da E sisiga: sa, gasa bagade amola noga: idafa ba: su da Ea Debolo diasu amo nabalegala: sa.
7 Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
Osobo bagade dunu huluane! Hina Godema nodone sia: ma! Ea gasa bagade hou amola Ea hadigidafa amoma nodone sia: ma!
8 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
Hina Gode Ea Hadigi Dio amoma nodone sia: ma. Ea Debolo diasu ganodini Ema iasu gaguli misa.
9 Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
E da doaga: sea, E da maleiba: le, osobo bagade dunu dilia da Ea midadi beguduma! Osobo bagade fifi asi gala dunu huluane! Ea midadi beda: ga yagugusa misa!
10 Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
Fifi asi gala huluanema sia: ma, “Hina Gode da Hina bagade! Osobo bagade da noga: le ligisiba: le fogomu gogolei gasa bagade galebe. E da fofada: sea moloidafa fofada: su amoga fofada: mu.
11 Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
Osobo bagade amola mu da: i! Nodoma! Hano wayabo bagade! Di amola nodoma! Di amola liligi dima ganodini esalebe huluane! Godema nodone wele sia: ma!
12 mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
Amola soge ganodini liligi huluane nodone sia: ma! Ifalabo aligi da hahawaneba: le, nodone sia: mu.
13 itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.
Hina Gode da osobo bagade ouligimusa: masea, E da defeledafa Ea moloidafa fofada: su amoga fifi asi huluane ouligimu.

< Zaburi 96 >