< Zaburi 95 >
1 Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha; tumfanyie kelele za shangwe Mwamba wa wokovu wetu.
KOMAIL kodo, pwe kitail pan kapinga Ieowa o ngisingis ong paip en maur atail.
2 Tuje mbele zake kwa shukrani, tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.
Kitail pan kola tuki ong i kaping. Kitail en ngisingiski ong i psalm!
3 Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu, mfalme mkuu juu ya miungu yote.
Pwe Ieowa Kot lapalap amen, o Nanmarki lapalap amen pon angin kot akan karos.
4 Mkononi mwake mna vilindi vya dunia, na vilele vya milima ni mali yake.
Pan sappa mi ni lim a, o pon komon nana me sapwilim a.
5 Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya, na mikono yake iliumba nchi kavu.
Madau me sapwilim a, pwe i me kotin wiadar, o lim a kan wiadar wasa madekong.
6 Njooni, tusujudu, tumwabudu, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,
Komail kodo, kitail pan kaudok, o dairukedi, o kelepuki mon Ieowa, me kotin wia kitail dar.
7 kwa maana yeye ndiye Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake, kondoo chini ya utunzaji wake. Kama mkiisikia sauti yake leo,
Pwe i atail Kot, a kitail aramas en sapwilim a wasan kamanga o pwin en lim a. Ran wet, ma komail pan rong kapitie,
8 msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya kule Meriba, kama mlivyofanya siku ile kule Masa jangwani,
Komail der kapitakaila mongiong omail, duen a wiauier Meripa o ni ran en Masa nan sap tan,
9 ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima, ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.
Ni sam omail akan songesong ia o kasau ia da, pwe re kilanger ai dodok kan.
10 Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile, nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka, nao hawajazijua njia zangu.”
Par paeisok I suede kilar di wet, o I indada: Mongiong en song en aramas duen met kin wukiwuk sili, o re sota men asa duen al ai kan.
11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
I ap kaula ni ai makar: Irail sota pan konodi ai kamol.