< Zaburi 95 >
1 Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha; tumfanyie kelele za shangwe Mwamba wa wokovu wetu.
Antao hisabo am’ Iehovà; Antao hipoña-peo amy lamilamim-pandrombahan-tikañey.
2 Tuje mbele zake kwa shukrani, tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.
Ntao hiatrek’Aze am-pañandriañañe, antao hirebek’ ama’e an-tsabo.
3 Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu, mfalme mkuu juu ya miungu yote.
Andrianamboatse jabahinake t’Iehovà, naho Mpanjaka ra’elahy ambone’ ze fanalolahy iaby.
4 Mkononi mwake mna vilindi vya dunia, na vilele vya milima ni mali yake.
Am-pità’e ao o hatsikeokeo’ ty tane toio, Aze ka o lengom-bohitseo.
5 Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya, na mikono yake iliumba nchi kavu.
Aze i riakey, ie ty namboatse aze, nitsenèm-pità’e i tane maikey.
6 Njooni, tusujudu, tumwabudu, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,
Mb’etoa, hiambane vaho hitalaho, antao hanongalek’ añatrefa’ Iehovà Mpitsene antikañe.
7 kwa maana yeye ndiye Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake, kondoo chini ya utunzaji wake. Kama mkiisikia sauti yake leo,
Amy te ie t’i Andrianañaharentikañe; itika ro ondatim-piandraza’e, naho ty lia-raim-pità’e; Anito, naho janjiñe’ areo i fiarañanaña’ey!
8 msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya kule Meriba, kama mlivyofanya siku ile kule Masa jangwani,
Ko mañagàñe arofo, manahake te Meriba añe, tañ’andro’ i Masa am-babangoañ’ añe;
9 ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima, ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.
Ie nazizin-droae’ areo, naoveove’iareo ndra te nioni’iereo o fitoloñakoo.
10 Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile, nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka, nao hawajazijua njia zangu.”
Efa-polo taoñe te nalaiñeko i tariratsey le nanoeko ty hoe: foko miola an-troke, fa tsy apota’ iareo o satakoo;
11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
Aa le nifanta ami’ty fifomboko: Toe tsy himoaha’iareo ty fitofàko.