< Zaburi 93 >

1 Bwana anatawala, amejivika utukufu; Bwana amejivika utukufu tena amejivika nguvu. Dunia imewekwa imara, haitaondoshwa.
Yawe azali kokonza, alati lokumu monene; Yawe alati penza lokumu monene mpe amizingeli na nguya. Solo, mokili etelema ngwi, eninganaka te.
2 Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani; wewe umekuwako tangu milele.
Kiti ya Bokonzi na Yo epikama wuta kala; seko na seko, ozali.
3 Bahari zimeinua, Ee Bwana, bahari zimeinua sauti zake; bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.
Yawe, bibale egangaka! Bibale etombolaka lokito na yango; bibale etombolaka makelele na yango.
4 Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu, ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari: Bwana aishiye juu sana ni mkuu.
Yawe azali monene makasi, na bisika ya likolo; aleki lokito ya mayi minene, mpe bambonge milayi ya ebale monene.
5 Ee Bwana, sheria zako ni imara; utakatifu umepamba nyumba yako pasipo mwisho.
Yawe, malako na Yo ezali penza ya solo; bosantu elati Ndako na Yo mpo na libela.

< Zaburi 93 >