< Zaburi 93 >

1 Bwana anatawala, amejivika utukufu; Bwana amejivika utukufu tena amejivika nguvu. Dunia imewekwa imara, haitaondoshwa.
SI Jeova jagobiebietna mabeste güe ni y ninasifia; si Jeova numabeste güe, ni y minetgot dinidog güe: y tano locue ninafitme ya ti siña manacalamten.
2 Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani; wewe umekuwako tangu milele.
Y tronumo mafatinas desde di ampmam na tiempo: jago guinin y taejinecog.
3 Bahari zimeinua, Ee Bwana, bahari zimeinua sauti zake; bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.
Mangajulo y minalag sija, O Jeova, ya y minalag sija mangajulo y inangangñija; y minalag sija mangajulo y napoñija.
4 Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu, ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari: Bwana aishiye juu sana ni mkuu.
Mastaquilo y inagang sija y minegae y janom sija, yan y fijom na napo gui tase, si Jeova gui sanjilo gaesisiña.
5 Ee Bwana, sheria zako ni imara; utakatifu umepamba nyumba yako pasipo mwisho.
Y testimoniomo sija mansenmagajet: sinantosja conbiene gui jalom guimamo, O Jeova, para taejinecog.

< Zaburi 93 >