< Zaburi 92 >

1 Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato. Ni vyema kumshukuru Bwana na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,
Dziesma svētdienā dziedama. Laba lieta ir, To Kungu slavēt un dziedāt Tavam Vārdam, Tu Visuaugstākais,
2 kuutangaza upendo wako asubuhi, na uaminifu wako wakati wa usiku,
Rītos izteikt Tavu žēlastību un naktīs Tavu uzticību,
3 kwa zeze yenye nyuzi kumi na kwa sauti ya kinubi.
Uz tām desmit stīgām un uz stabulēm, ar spēlēšanu uz koklēm.
4 Ee Bwana, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha, nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.
Jo, Kungs, Tu mani iepriecini ar Saviem darbiem; es gavilēju par to, ko Tava roka dara.
5 Ee Bwana, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako, tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!
Ak Kungs, cik lieli ir Tavi darbi, cik ļoti dziļas Tavas domas!
6 Mjinga hafahamu, mpumbavu haelewi,
Nejēga to neatzīst, un ģeķis to nesaprot.
7 ingawa waovu huchipua kama majani na wote watendao mabaya wanastawi, wataangamizwa milele.
Gan bezdievīgie zaļo kā zāle, un visi ļauna darītāji zeļ; tomēr tie top izdeldēti mūžīgi mūžam.
8 Bali wewe, Ee Bwana, utatukuzwa milele.
Bet Tu, Kungs, esi tas augstākais mūžīgi.
9 Ee Bwana, hakika adui zako, hakika adui zako wataangamia. Wote watendao mabaya watatawanyika.
Jo redzi, Tavi ienaidnieki, ak Kungs, redzi, Tavi ienaidnieki iet bojā, visi ļaundarītāji top izkaisīti.
10 Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume, mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.
Bet Tu paaugstini manu ragu kā vērša ragu; es esmu apliets ar jaunu eļļu.
11 Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa, masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.
Un manas acis uzlūko ar prieku manus nicinātājus, manas ausis iepriecinājās par tiem, kas ļaunā prātā pret mani ceļas.
12 Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,
Taisnais zaļo kā palma koks, viņš aug kā ciedru koks uz Lībanus.
13 waliopandwa katika nyumba ya Bwana, watastawi katika nyua za Mungu wetu.
Kas Tā Kunga namā ir stādīti, tie zaļo mūsu Dieva pagalmos.
14 Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,
Vēl pašā vecumā tie nes augļus, tie ir auglīgi un zaļi,
15 wakitangaza, “Bwana ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”
Un stāsta, ka Tas Kungs, mans patvērums, ir taisns, un netaisnības nav pie Viņa.

< Zaburi 92 >