< Zaburi 91 >

1 Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana, atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.
Louange de cantique à David.
2 Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”
Il dira au Seigneur: Vous êtes mon soutien et mon refuge; il est mon Dieu, j’espérerai en lui.
3 Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji, na maradhi ya kuambukiza ya kuua.
Parce que c’est lui-même qui m’a délivré d’un filet de chasseurs et d’une parole meurtrière.
4 Atakufunika kwa manyoya yake, chini ya mbawa zake utapata kimbilio, uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.
Il te mettra à l’ombre sous ses épaules, et sous ses ailes tu espéreras.
5 Hutaogopa vitisho vya usiku, wala mshale urukao mchana,
Sa vérité t’environnera de son bouclier, et tu n’auras pas à craindre d’une terreur nocturne,
6 wala maradhi ya kuambukiza yanayonyemelea gizani, wala tauni iharibuyo adhuhuri.
D’une flèche volant dans le jour, d’une affaire qui marche dans des ténèbres, et de l’attaque d’un démon du midi.
7 Ijapo watu elfu wataangukia kando yako, kumi elfu mkono wako wa kuume, lakini haitakukaribia wewe.
Mille tomberont à ton côté, et dix mille à ta droite; mais nul n’approchera de toi.
8 Utatazama tu kwa macho yako na kuona adhabu ya waovu.
Et même tu considéreras de tes propres yeux, et tu verras la punition méritée des pécheurs.
9 Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako: naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,
Parce que tu as dit: Seigneur, vous êtes mon espérance, et que tu as choisi le Très-Haut pour ton refuge.
10 basi hakuna madhara yatakayokupata wewe, hakuna maafa yataikaribia hema yako.
Le mal ne viendra pas jusqu’à toi, et aucun fléau n’approchera de ton tabernacle.
11 Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote.
Parce qu’il a commandé à ses anges à ton sujet, de te garder dans toutes tes voies.
12 Mikononi mwao watakuinua, ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.
Ils te porteront dans leurs mains, de peur que ton pied ne heurte contre une pierre.
13 Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.
Tu marcheras sur l’aspic et le basilic, et tu fouleras aux pieds le lion et le dragon.
14 Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa; nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.
Parce qu’il a espéré en moi, je le délivrerai: je le protégerai, parce qu’il a connu mon nom.
15 Ataniita, nami nitamjibu; nitakuwa pamoja naye katika taabu, nitamwokoa na kumheshimu.
Il criera vers moi, et je l’exaucerai: avec lui, je serai dans la tribulation, je le sauverai et le glorifierai.
16 Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonyesha wokovu wangu.”
Je le comblerai d’une longue suite de jours, et je lui montrerai mon salut.

< Zaburi 91 >