< Zaburi 89 >

1 Utenzi wa Ethani Mwezrahi. Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele; kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako ujulikane kwa vizazi vyote.
Ho saboeko nainai’e ty fiferenaiña’ Iehovà, hampahafohineko am-bava ze hene tariratse mifandimbe ty figahiña’o.
2 Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
Fa hoe iraho: mioreñe nainai’e ty fiferenaiñañe, najado’o andindiñe ao ty figahiña’o.
3 Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu, nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
Nanoeko fañina amy jinobokoy, nifanta amy Davide mpitorokoy:
4 ‘Nitaimarisha uzao wako milele na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’”
Hajadoko pak’añ’afeafe’e o tarira’oo, naho hatroako amo hene tariratseo ty fiambesam-panjakà’o. Selà
5 Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako, uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
Ho rengè’ o likerañeo o halatsà’oo ry Iehovà, naho ty figahiña’o am-pivori’ o noro’oo.
6 Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
Fa ia an-dikerañe ao ty mañirinkiriñe am’ Iehovà? Ia amo ana’ o manjofakeo ty hambakambañe am’ Iehovà?
7 Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana, anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
I Andrianañahare añeveña’ ty fivori’ o noro’eo; hene ilatsa’ o miariseho’ azeo.
8 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka.
Ry Iehovà Andrianañahare’ i Màroy, ia ty mañirinkiriñe azo? Ry Ià maozatseo, ohoñe’ty figahiña’o.
9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
Fehe’o ty fitroña’ o riakeo, ie mitroatse o alo’eo le ampipendreñe’o.
10 Wewe ulimponda Rahabu kama mmojawapo wa waliochinjwa; kwa mkono wako wenye nguvu, uliwatawanya adui zako.
Dinemodemo’o ty Rahabe manahake o vinonoo; binaibaim-pitàn-kaozara’o o rafelahi’oo.
11 Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako, uliuwekea ulimwengu msingi pamoja na vyote vilivyomo.
Azo o likerañeo, Azo ka ty tane toy; ty voatse toy naho ty halifora’e. Ihe ro nañoreñe iareo.
12 Uliumba kaskazini na kusini; Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
Ty avaratse naho ty atimo, songa nitsenè’o; rebehe’ i Tabore naho i Kermone ty tahina’o.
13 Mkono wako umejaa uwezo; mkono wako una nguvu, mkono wako wa kuume umetukuzwa.
Maozatse ty sira’o, fatratse ty fità’o, mionjoñe ty fitàn-kavana’o.
14 Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi; upendo na uaminifu vinakutangulia.
Ty havañonañe naho ty hatò ro fioreñam-piambesa’o; iatrefa’ ty fiferenaiñañe naho ty havantañañe.
15 Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe, wanaotembea katika mwanga wa uwepo wako, Ee Bwana.
Haha t’ondaty mahafohiñe i fipoñafam-peoy, Hañavelo ami’ty fireandrean- dahara’o iereo, ry Iehovà;
16 Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.
I tahina’oy ty hitreña’ iareo lomoñandro, ie onjoñe’ ty havantaña’o.
17 Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao, kwa wema wako unatukuza pembe yetu.
Ihe ro enge’ ty haozara’iareo, mañonjoñe ty tsifa’ay ty fañosiha’o.
18 Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana, na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
A i Iehovà ty fikalan-defo’ay, a i Masi’ Israeley ty Mpanjaka’ay
19 Ulizungumza wakati fulani katika maono, kwa watu wako waaminifu, ukasema: “Nimeweka nguvu kwa shujaa, nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
Teo ty nitsarae’o añ’aroñaroñe amo noro’oo, ty hoe: fa nìmbaeko i fanalolahiy; fa nonjoneko ty jinoboñe am’ ondatio,
20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
nitreako t’i Davide mpitoroko; i norizako amy soliko miavakeiy.
21 Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
Ho gañe ama’e ty tañako, hampaozatse aze ka ty sirako
22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
Tsy hamañahy aze o rafelahio, tsy hampilovilovy aze i anan-karatiañey.
23 Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
Ho demoheko añatrefa’e o rafelahi’eo, vaho ho zevoñeko o malaiñ’azeo.
24 Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
Ho ama’e ty figahiñako naho ty fiferenaiñako, ty añarako ro fañonjonañe ty tsifa’e.
25 Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.
Hasampeko amy riakey ka ty fità’e, naho ty fitàn-kavana’e amo sakao.
26 Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
Ho kanjie’e ami’ty hoe: Ihe ro Raeko, Andrianañahareko, vaho ty lamilamim-pandrombahañe ahiko.
27 Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
Hanoeko tañoloñoloñako re ho talèm-panjaka’ ty tane toy.
28 Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.
Hambenako ami’ty fiferenaiñako nainai’e, le hijadoñe ama’e ty fañinako.
29 Nitaudumisha uzao wake milele, kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
Haoreko tsy ho modo nainai’e o tarira’eo, ho mira amo andron-dikerañeo ty fiambesa’e.
30 “Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
Aa naho zehare’ o ana’eo i Entakoy naho tsy mañavelo amo fepèkoo,
31 kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
naho lilare’ iareo o fañèkoo, vaho tsy mitañ’ o fandiliakoo,
32 nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
Le ho tiliheko an-kobaiñe ty fiolà’ iareo, naho am-pòfoke o tahi’ iereoo.
33 lakini sitauondoa upendo wangu kwake, wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
Fe tsy hasintako ama’e ty fiferenaiñako, vaho tsy hivalik’ ami’ty figahiñako.
34 Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
Tsy ho tivaeko i fañinakoy, ndra hañova ze naakan-tsoñiko.
35 Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
Teo ty nifantàko ami’ty hamasiñako, —zaho tsy handañitse amy Davide—
36 kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
Tsy ho modo nainai’e i tiri’ey, vaho manahake i masoandro aolokoy i fiambesa’ey;
37 kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
hioreñe nainai’e re manahake i volañey, vaho higahiñe manahake i valolombelon-dikerañey. Selà
38 Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
Fe sinoi’o añe iraho, nifarieñe, niviñera’o i noriza’oy.
39 Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Novohe’o ty fañina’o amy mpitoro’oy; nitivae’o an-debok’ao ty sabakan-enge’e.
40 Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
Fonga tinorotosi’o o kijoli’eo narotsa’o iaby o rova’eo.
41 Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
Ikopaha’ ze hene miary eo; Andrabioña’ o mifankarine ama’eo.
42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
Naonjo’o ty tañan-kavana’ o malaiñe azeo; nampirebehe’o o rafelahi’e iabio;
43 Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
Mbore nafote’o i lelam-pibara’ey le tsy ampijohañe’o an-kotakotak’ ao.
44 Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
Najihe’o ty enge’e, naho navokovoko’o an-tane eo i fiambesa’ey.
45 Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
Nitomore’o o andron-katora’eo, kinolopo’o hasalaran-dre. Selà
46 Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
Pak’ombia ry Iehovà? Hietake nainai’e v’iheo? Sikala ombia ty hiforoforoa’ ty fifombo’o hoe afo?
47 Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka. Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
Tiahio ty habori’ o androkoo, akore ty hakoahañe nitsenè’o ze kila ana’ ondaty!
48 Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
Ia t’indaty veloñe tsy ho liàn-kavilasy, ho haha’e ami’ty haozara’ i kiboriy hao ty fiai’e? Selà (Sheol h7585)
49 Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni, ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
Aia o fiferenaiña’o haehaeo, ry Talè, ze nifantà’o amy Davide ami’ty figahiña’o?
50 Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
Tiahio ry Talè, ty fañivañivañe i mpitoro’oy, ie otroñeko añ’arañako ondaty maroo,
51 dhihaka ambazo kwazo adui zako wamenisimanga, Ee Bwana, ambazo kwazo wamesimanga kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
ie kinizakiza’ o rafelahi’oo, ry Iehovà, ie ninjè’ iareo o lia’ i noriza’oio;
52 Msifuni Bwana milele!
Andriañeñe nainai’e t’Iehovà. Ie izay, naho Amena.

< Zaburi 89 >