< Zaburi 89 >

1 Utenzi wa Ethani Mwezrahi. Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele; kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako ujulikane kwa vizazi vyote.
Kasakkung: Ethan BAWIPA lungmanae teh la hoi pou ka sak han. Yuemkamcu lah na onae teh se pueng dawk ka pahni ni a pholen han.
2 Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
Lungmanae teh a kangning. Yuemkamcu lah na onae teh kalvan roeroe vah, acak telah ka dei toe.
3 Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu, nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
Ka rawi e koevah lawk ka kam toe. Ka san Devit koe thoe ka bo toe.
4 ‘Nitaimarisha uzao wako milele na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’”
Na catoun hah pou ka caksak han. Na bawitungkhung hah se pueng dawk kangdue sak han. (Selah)
5 Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako, uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
Oe BAWIPA, kalvannaw ni kângairu lah na onae hah a pholen awh teh, tamikathoungnaw kamkhuengnae koe yuemkamcu lah na onae hai, a pholen awh han.
6 Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
Bangkongtetpawiteh, kalvan vah BAWIPA hoi bangnue thai e apimouh kaawm. Athakaawmnaw thung dawk BAWIPA patet e ao han na ou.
7 Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana, anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
Tamikathoungnaw kamkhuengnae koe Cathut teh, lentoe poung lahoi taki hanelah ao. A tengpam e tami pueng ni a bari awh hanelah ao.
8 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka.
Oe, kalvan ransabawi Cathut BAWIPA, nang patetlah athakaawm ao nama, Oe, BAWIPA, yuemkamcu lah na onae ni koung na kalup.
9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
Talîpui tuicapa ka thaw e hai na uk teh, tuicapa a thaw teh na roum sak.
10 Wewe ulimponda Rahabu kama mmojawapo wa waliochinjwa; kwa mkono wako wenye nguvu, uliwatawanya adui zako.
Tami ni taran a thei e patetlah, Rahab hah na raphoe teh, koung na kayei. Na taran hah na kut thaonae hoi koung na pâlei.
11 Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako, uliuwekea ulimwengu msingi pamoja na vyote vilivyomo.
Kalvannaw hah nange lah ao teh, talai hai nange doeh. Talaivan hoi a thung kaawm e pueng hah na kangdue sak toe.
12 Uliumba kaskazini na kusini; Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
Atung aka heh na sak e lah ao teh, Tabor hoi Hermon teh na min dawk a konawm.
13 Mkono wako umejaa uwezo; mkono wako una nguvu, mkono wako wa kuume umetukuzwa.
Athakaawme kutbuembue hah na tawn. Na kut heh a tha a sai teh aranglae kut teh hoe a rasang.
14 Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi; upendo na uaminifu vinakutangulia.
Lannae hoi kângingnae teh, na bawitungkhung kamtuenae lah ao teh, lungmanae hoi lawkkatang teh na hmalah a cei.
15 Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe, wanaotembea katika mwanga wa uwepo wako, Ee Bwana.
Lunghawinae kamthang ka thai e teh, tami yawkahawi e doeh. Oe BAWIPA, ahnimouh teh na minhmai angnae dawk kho a sak awh.
16 Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.
Na min dawkvah hnintangkuem a lunghawi awh teh, na lannae dawkvah tawm lah ao awh.
17 Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao, kwa wema wako unatukuza pembe yetu.
Bangkongtetpawiteh, nang teh ka sungren e a thaonae lah na o.
18 Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana, na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA teh maimae bahling lah ao teh, Isarelnaw e Kathoung E, maimae siangpahrang lah ao.
19 Ulizungumza wakati fulani katika maono, kwa watu wako waaminifu, ukasema: “Nimeweka nguvu kwa shujaa, nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
Hottelah, na tamikathoung koe kamnuenae lahoi lawk na dei teh, athakaawme hah kabawp teh, tamimaya thung hoi rawi e teh ka pholen.
20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
Ka san Devit hah ka hmu teh, kathounge satui hoi ka awi toe.
21 Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
Ka kut hoi kacaklah ka kuet vaiteh, ka kutbuembue ni a tha ao sak han.
22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
Taran ni na dum thai mahoeh, tami ni patawnae na poe thai mahoeh.
23 Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
Ama ka tarannaw hah a hmalah ka parawp vaiteh, ama kahmuhmanaw hah ka hem han.
24 Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
Ama koe yuemkamcu lah ka onae hoi, lungmanae teh pou ao han. Ka min kecu dawk a ki hah tawm lah ao han.
25 Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.
A kut hai talîpui dawk ka ta vaiteh, aranglae kut hah palangpui dawk ka ta han.
26 Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
Ama ni kai koe vah, nang teh apa ka Cathut, ka rungngangnae lungsongpui lah na o telah a hram han.
27 Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
Ama teh ka camin lah ka coung sak vaiteh, talai siangpahrang ka rasang poung lah ka coung sak han.
28 Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.
Ka lungmanae hoi pou ka ring vaiteh, ahni koe ka lawkkam teh kacaklah a kangdue han.
29 Nitaudumisha uzao wake milele, kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
A catoun hai yungyoe ka kangning sak vaiteh, a bawitungkhung hai kalvan a kangning roukrak ka kangning sak han.
30 “Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
A canaw ni ka kâlawk a kamlang takhai awh teh, ka lawkcengnae patetlah awm laipalah,
31 kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
ka phunglam a tapoe awh teh, kaie kâpoelawknaw tarawi awh hoeh pawiteh,
32 nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
Kâtapoenae dawk sumtaboung hoi ka rek vaiteh, payonnae dawk ka hem awh han.
33 lakini sitauondoa upendo wangu kwake, wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
Hatei, ka lungmanae teh ahni koehoi koung ka lat pouh mahoeh. Yuemkamcu lah ka onae hah ayawmyin lah ao hane ka pasoung hoeh.
34 Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
Ka lawkkam ka raphoe mahoeh, ka pahni dawk hoi ka tâcawt e lawk heh ka thung mahoeh toe.
35 Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
Vai touh kaie thoungnae hoi thoe ka bo teh, Devit koe laithoe ka dei mahoeh.
36 kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
A catoun hah a yungyoe a kangning vaiteh, a bawitungkhung teh ka hmalah, kanî patetlah a kangdue han.
37 kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
Thapa patetlah a yungyoe hanelah caksak lah awm vaiteh, kalvan yuemkamcu panuekkhaikung patetlah ao han. (Selah)
38 Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
Hatei, nang ni hnamthun takhai hoi na panuet teh, satui awi e dawkvah na lungkhuek.
39 Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Na san hoi lawkkamnae na raphoe teh, a bawilakhung talai dawk a bo teh banglah na ngai pouh hoeh.
40 Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
Kalupnae tapangpueng na raphoe teh, na rapanim hah he na raphoe.
41 Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
Lam dawk ka cet e pueng ni hno a la pouh awh teh, a tengpam e naw ni a pathoe awh.
42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
A tarannaw e kut tha na o sak teh, a tarannaw pueng hah a lung na tho sak.
43 Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
Ka hran e tahloi hah na ban sak teh, tarantuknae koe na kabawm hoeh toe.
44 Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
A lentoenae hah na pout sak teh, a bawitungkhung hah talai dawk na tâkhawng pouh.
45 Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
A nawsainae tueng na duem sak teh, yeirai hni hah na kâkhu sak.
46 Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
BAWIPA bangkong ngailawi na o han. Pou na kâhro han maw. Na lungkhueknae teh hmai patetlah pou a kaman han maw.
47 Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka. Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
Ka tueng a duemnae hah na pahnim pouh hanh. Bangkongtetpawiteh, tami catounnaw hah cungkeihoeh lah na sak.
48 Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
Apipatet mouh duenae kâhmo laipalah ka hring thai. Phuen thaonae dawk hoi kârungngang thai e apimouh kaawm. (Sheol h7585)
49 Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni, ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
BAWIPA, Devit koe thoe na bo e ahmaloe e lungpatawnae teh, nâne ao toung.
50 Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
BAWIPA, na sannaw pathoe lah a onae pahnim hanh. Athakaawme tami moikapap ni pathoenae hah kai ni ka khang.
51 dhihaka ambazo kwazo adui zako wamenisimanga, Ee Bwana, ambazo kwazo wamesimanga kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
Oe BAWIPA, na taran ni na pathoe teh, satui awi e a cei nah pueng koe a pathoe awh.
52 Msifuni Bwana milele!
BAWIPA teh a yungyoe hoi a yungyoe pholen lah awm lawiseh. Amen hoi Amen.

< Zaburi 89 >