< Zaburi 89 >
1 Utenzi wa Ethani Mwezrahi. Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele; kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako ujulikane kwa vizazi vyote.
Hina Gode, na da eso huluane Dia mae fisili asigi hou amoga ligiagale gesami hea: lumu. Na da mae fisili Dia didili hamosu hou amo fifi asi gala huluanema adodolalumu.
2 Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
Na dawa: , Dia asigidafa hou da mae fisili eso huluane dialumu. Amola Dia didili hamosu hou da bagadedafa amola fisimu hamedei muagado haisewe agoai dialumu.
3 Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu, nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
Di da amane sia: i, “Na da Ni ilegele fi dunu amo anisu gaguli gousa: i dagoi, amola Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi, ema hamomusa: ilegele sia: i dagoi.
4 ‘Nitaimarisha uzao wako milele na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’”
‘Digaga fifi ahoanebe amoga da eso huluane hina bagade dunu hamonanumu. Na da mae fisili dia sosogo fi amoga enoga wadela: lesisa: besa: le gaga: lalumu.’”
5 Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako, uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
Hebene da Dia noga: i liligi hahamoi amoga gesami hea: sa, amola hadigidafa a: igele dunu da Hina Gode Dia didili hamosu amoga gesami hea: sa.
6 Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
Hina Gode, Hebene amo ganodini da Di agoai afae hame gala. Hebene amo ganodini galebe liligi amoga da Dila defemu afae hamedafa.
7 Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana, anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
Amola a: igele gasolo ilia hadigi malei sesei amo ganodini ilia da Dima beda: sa, amola ilia huluane da Dima sosodo aligi diala.
8 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka.
Hina Gode Bagadedafa, bagadedafa Di agoai afae da hame gala. Hina Gode, Di da liligi huluanedafa amoma moloidafa ba: sa.
9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
Di da hano wayabo gasa bagade amo ouligisa. Di da hano ea gasa bagade gafulusu amo asabolesisa.
10 Wewe ulimponda Rahabu kama mmojawapo wa waliochinjwa; kwa mkono wako wenye nguvu, uliwatawanya adui zako.
Di da ohe bagadedafa, La: iha: be, amo Di gasa bagadedafa amoga fane dadalega: le salalu, amola Dia ha lai dunu hasalasi.
11 Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako, uliuwekea ulimwengu msingi pamoja na vyote vilivyomo.
Hebene amo da Dia: , amola osobo bagade amola liligi huluane amo ganodini diala amo da Di fawane hahamoi.
12 Uliumba kaskazini na kusini; Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
Di da ga (north) amola ga (south) amo hahamoi. Dabo goumi amola Hemone goumi da Dima nodone gesami hea: sa.
13 Mkono wako umejaa uwezo; mkono wako una nguvu, mkono wako wa kuume umetukuzwa.
Dia nimi da bagadedafa gala! Dia gasa da baligili bagadedafa!
14 Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi; upendo na uaminifu vinakutangulia.
Dia Hinadafa hou da moloidafa hou, moloidafa fofada: su hou, asigi hou amola dafawaneyale dawa: su hou amo da: iya bugiba: le, Dia hamobe hou huluane da noga: le olelesa.
15 Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe, wanaotembea katika mwanga wa uwepo wako, Ee Bwana.
Dunu ilia da Dima nodone gesami hea: beba: le, hahawane bagadedafa gala, amola ilia da Dia hadigi amola asigisu amo ganodini esala agoane hamosa!
16 Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.
Bai ilia da yoga eso huluane Dima, Dia noga: idafa hou amoga nodone sia: nana.
17 Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao, kwa wema wako unatukuza pembe yetu.
Di da ninima hasalasisu hou bagadedafa i. Dia asigidafa hou amoga Di da ninima hasalasisu i.
18 Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana, na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Di, Hina Gode, Di fawane da ninia gaga: su dunu ilegei. Di, Isala: ili ilia Hadigidafa Gode da ninia hina bagade ninima i.
19 Ulizungumza wakati fulani katika maono, kwa watu wako waaminifu, ukasema: “Nimeweka nguvu kwa shujaa, nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
Di, Hina Gode, Di da mae fisili noga: idafa hawa: hamosu dunu, esala ba: su ganodini ilima amane sia: i, “Na da mimogo dadi gagui dunuma fidima: ne ilegei dagoi. Na da Isala: ili fi dunu amoga ouligisu dunu ilegei.
20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi ea dialuma da: iya malei susuligi sogagala: lu, e hina bagade dunu hahamonesi.
21 Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
Na gasa da eso huluane e amola gilisili lalumu. Na nimi hou amoga e da gasa bagade heda: mu.
22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
Ema ha lai dunu ilia da ema hasalimu da hamedei ba: mu, amola wadela: i hamosu dunu, ilia da e hame hasalasimu.
23 Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
Na da ea ha lai dunu amo fane dadega: le fofasimu amola ema higale ba: be dunu amo huluane fane lelegemu.
24 Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
Na da ema asigilalumu amola ema madelagimu. Na da ema eso huluane ea hasalasisu fawane hamonanoma: mu.
25 Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.
Na da ea hina bagade hou amo Medidela: inia hano wayabo bagade amogainini, Iufala: idisi hanoga alofele galesimu.
26 Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
E da Nama amane sia: mu. “Di da na Ada amola na Gode, amola Di da na gesu amola na gaga: su.
27 Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
Hina dunu bagohame amo ganodini, Na da ema Na magobo mano hamomu.
28 Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.
Na da Na hamomusa: ema ilegele sia: i da eso huluane dawa: i dialumu, amola Na da gousa: su ema ilegele sia: i da mae fisili amanewane dialumu.
29 Nitaudumisha uzao wake milele, kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
Ea sosogo fi da mae mumugululi, muagado haisewe agoaiwane dialumu. Egaga fifi manebe da eso huluane hina bagade dunu hamonanusu hamomu.
30 “Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
“Be ilia da Na sema amo hame fa: no bobogesea, amola Na hamoma: ne sia: i amo hame hamosea,
31 kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
Ilia da Na sema amo hame nabasea, amola Na hamoma: ne sia: i amoma hame fa: no bobogesea,
32 nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
amasea, Na da ilia wadela: i hou amo dabe ilima se bidi imunu. Ilia da giadofale hamoiba: le, Na da ilima se bidi iabeba: le, ilia da se naba hahaninanumu.
33 lakini sitauondoa upendo wangu kwake, wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
Be amomane Na da Da: ibidima asigi hou da hame yolesimu amola Na ema hamomusa: ilegele sia: i da hame yolesimu.
34 Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
Na ema gousa: su da hame yolesimu, amola ema Na da hamomusa: ilegei amoga hodo afadafa Ni hame lalegamu.
35 Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
“Afae dafawane, amo huluane Na da Na malei Dioba: le ilegele sia: sa. Na da Da: ibidima hamedafa ogogomu.
36 kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
E da eso huluane egaga fifi ahoanumu, amola Na da ea hina bagade hawa: hamosu amo ganodini eso digaga: la: be galu, ema sosodo lelumu.
37 kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
Oubi da muagadodili mae fisili lela. Amo defele Da: ibidi egaga fi da Isala: ili ouligisa esalumu.”
38 Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
Be amomane Di da dia ilegei hina dunuma ougi galebe, Di da e yolesiaga: le, e gogolei dagoi galebe.
39 Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Di da Dia hawa: hamosu dunuma gousa: su amo fisi dagoi amola ea habuga da udigili isu da: iya galagai dagoi.
40 Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
Di da ea moilai fi dobea fei amo gadelale sanasi dagoi, amola ea gasa bagade gagili sali amo wadela: lesi dagoi.
41 Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
Dunu ilia da amodili baligisia, ilia da ea liligi amo wamolasa, amola e gadenene fifilai dunu ilia da e ba: le oufesega: sa.
42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
Di da ea ha lai dunuma hasalasu hou ilima i dagoi, amola Di da ili hahawane galoma: ne hamoi.
43 Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
Di da ea gegesu liligi amo gasa hamedene hahamonesi, amo e da gegesu amo ganodini ema hasalima: ne hamoi.
44 Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
Di da ea malei galiamo fadegale fasili, amola ea hadigi fisu amo osoba gudu muwane sanasi.
45 Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
Di da ea eso hame doaga: iya asagia, e da: i hahamonesi, amola Di da ema gogosiasu iasi.
46 Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
Hina Gode, Dia odagi mae olele gebewane wamoaligi dialoma: bela: ? Dia ougi da lalu agoane habowali seda nenanoma: bela: ?
47 Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka. Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
Na esalusu da dunumunihadi amo Di dawa: ma. Dunu nini huluane da Di hahamoi, amo Di dawa: ma!
48 Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol )
Nowa da mae bogole fifi ahoanoma: bela: ? Dunudafa ninia da, nini bogoi uli dogoi amoga dasa: besa: le habodane gaga: ma: bela: ? (Sheol )
49 Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni, ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
Hina Gode, ninia da Dia musa: asigi hou amo dawa: digisu da habila: ? Dia Da: ibidima hamomusa: ilegei amo da habila: ?
50 Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
Mae gogolema, na, Dia hawa: hamosu dunu! Ilia da nama gadele sisa: nosa. Ilia da nama gagabusu aligima: ne sia: daha.
51 dhihaka ambazo kwazo adui zako wamenisimanga, Ee Bwana, ambazo kwazo wamesimanga kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
Hina Gode, Dima ha lai ili da Dia ilegele lai Hina Bagade Ema gadele sisa: nosa! Ilia da E habodili ahoanebe ba: sea, Eba: le gadele sisa: nosa.
Hina Godema eso huluane nodone sia: noma! Ama! Ama!