< Zaburi 88 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi. Ee Bwana, Mungu uniokoaye, nimelia mbele zako usiku na mchana.
O Pakai, eihuhhing’a ka Pathen, sunleh nangma kakou in, jan leh nakom kahin nailut ji e.
2 Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.
Tun kakouna neijah peh’in lang katona neisan peh’in.
3 Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol h7585)
Ajeh chu kahin khohi boina adim in, thinan eikainai chehcheh e. (Sheol h7585)
4 Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.
Athisa bang bep kahitai, mithahat tah khat athahat na bei nungsang bep kahitai.
5 Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
Amahon mithi lah’a eidalha uvin lhan ah mithi lup’in kalum e. Keima hi suhmil in kaum tai, nami kaihoina a kon in eiki lamang tai.
6 Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.
Nang in kotong noinung pen athim pen ah neison lha e.
7 Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
Nalung han na gihtah chun eidelphan, hichu twi kinong bangin akinong’in eichup tai.
8 Umenitenga na rafiki zangu wa karibu na kunifanya chukizo kwao. Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;
Keima hi doumah in neisem in kagol kapai ho neidelmang peh gamtai. Keima hi thang’ah ka-oh in kiteldoh theilouvin kaum e.
9 nuru ya macho yangu imefifia kwa ajili ya huzuni. Ee Bwana, ninakuita kila siku, ninakunyooshea wewe mikono yangu.
Kamit lhin kamit achupmin kho muthei louvin kaum e. O Pakai niseh’in na panpina kathum in nami lungsetna ngaichan kakhut teni kahin sange.
10 Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako? Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?
Nathil kidang bol hohi mithi dinga phachom ding hinam? Mithi hungthodoh a nathangvah theiding hinam?
11 Je, upendo wako hutangazwa kaburini, uaminifu wako katika Uharibifu?
Lhankhuh a kon in amahon nami ngailutna longlou hi ahin phongdoh theina diuvem? Suhmangna mun’a umhon nakitah nahi aphongdoh theina diuvem?
12 Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza, au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?
Muthim’in nathilbol kidang hohi aseiphong nadiuvem? Thil suhmil delna gam'a umhon na chonphat na hochu aseiphong theina diuvem?
13 Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie; asubuhi maombi yangu huja mbele zako.
O Pakai nangma kakouve, niseh-a nakom a katao jingding ahi.
14 Ee Bwana, kwa nini unanikataa na kunificha uso wako?
O Pakai, ibola kei nei paidoh hitam? Ibol a kei a kon a naki heimang hitam?
15 Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo; nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.
Kakhang don lai a pat a, kanatna hin thina komcha eina lhutsa ahitan, nagim neina masanga hin thabei leh lungkham tah’in kading e.
16 Ghadhabu yako imepita juu yangu; hofu zako zimeniangamiza.
Nalunghan na tijat umtah chun eilonvuh’in, tijat naumna chun eithabei sah e.
17 Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko; zimenimeza kabisa.
Hiche hochun sun nilhum in twisoh bangin kavel a eilon khum un ahi. Muthimhi kakinai pipen kagol in apang un ahi.
18 Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu; giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.

< Zaburi 88 >