< Zaburi 87 >

1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
A los hijos de Coré: Salmo: Canción. SU cimiento es en montes de santidad.
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
Ama Jehová las puertas de Sión más que todas las moradas de Jacob.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Cosas ilustres son dichas de ti, ciudad de Dios. (Selah)
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Yo me acordaré de Rahab y de Babilonia entre los que me conocen: he aquí Palestina, y Tiro, con Etiopía: éste nació allá.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Y de Sión se dirá: Este y aquél han nacido en ella; y fortificarála el mismo Altísimo.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
Jehová contará cuando se escribieren los pueblos: Este nació allí. (Selah)
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Y cantores y tañedores [en ella dirán]: Todas mis fuentes estarán en ti.

< Zaburi 87 >