< Zaburi 87 >
1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
Psalm i pieśń dla synów Korego. Jego fundament jest na świętych górach.
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
PAN miłuje bramy Syjonu bardziej niż wszystkie przybytki Jakuba.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Chwalebne [rzeczy] mówi się o tobie, o miasto Boże. (Sela)
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Wspomnę Rahab i Babilon wśród tych, którzy mnie znają; oto Filistea i Tyr, i Etiopia: Ten się tam urodził.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
O Syjonie też będą mówić: Ten i tamten urodził się w nim; a sam Najwyższy go utwierdzi.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
PAN wyliczy, spisując narody: Ten się tam urodził. (Sela)
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
I pląsając, będą śpiewać: [W tobie] są wszystkie me źródła.