< Zaburi 87 >

1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
Av Korahs barn; en salme, en sang. Den stad han har grunnfestet på de hellige berg,
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
Sions porter elsker Herren fremfor alle Jakobs boliger.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Herlige ting er sagt om dig, du Guds stad. (Sela)
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Jeg nevner Rahab og Babel blandt dem som kjenner mig; se filisteren og tyrieren med etioperen: Denne er født der.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Og om Sion skal det sies: Hver og en er født der. Og han, den Høieste, gjør det fast.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
Herren skal telle når folkene blir opskrevet, og si: Denne er født der. (Sela)
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Og de som synger og danser, skal si: Alle mine kilder er i dig.

< Zaburi 87 >