< Zaburi 87 >

1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
Psaume et cantique des fils de Koré. Les fondements de Sion sont sur les montagnes saintes.
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
Le Seigneur aime ses portes plus que toutes les tentes de Jacob.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
On a dit de toi des choses glorieuses, ô cité de Dieu!
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Je rappellerai Raab et Babylone à ceux qui me connaissent. Et voilà que les étrangers et Tyr, et le peuple des Éthiopiens s'y sont réunis.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Un homme dira: Ma mère est Sion; et cet homme y est né, et le Très-Haut lui-même en a été le fondateur.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
Le Seigneur racontera cela dans l'écrit des peuples et des princes qui sont nés dans Sion.
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Pour tous, habiter en toi, c'est habiter dans la joie.

< Zaburi 87 >