< Zaburi 87 >

1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
Des fils de Coré. Psaume. Cantique. La fondation qu’il a posée est dans les montagnes de sainteté.
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
L’Éternel aime les portes de Sion plus que toutes les demeures de Jacob.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Des choses glorieuses sont dites de toi, cité de Dieu. (Sélah)
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Je ferai mention de Rahab et de Babylone à ceux qui me connaissent; voici la Philistie, et Tyr, avec l’Éthiopie: celui-ci était né là.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Et de Sion il sera dit: Celui-ci et celui-là sont nés en elle; et le Très-haut, lui, l’établira.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
Quand l’Éternel enregistrera les peuples, il comptera: Celui-ci est né là. (Sélah)
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Et en chantant et en dansant, [ils diront]: Toutes mes sources sont en toi!

< Zaburi 87 >