< Zaburi 87 >
1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
`The salm of the song of the sones of Chore. The foundementis therof ben in hooli hillis;
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
the Lord loueth the yatis of Sion, more than alle the tabernaclis of Jacob.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Thou citee of God, with outen ende; gloriouse thingis ben seide of thee.
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
I schal be myndeful of Raab, and Babiloyne; knowynge me. Lo! aliens, and Tyre, and the puple of Ethiopiens; thei weren there.
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Whether a man schal seie to Sion, And a man is born ther ynne; and that man altherhiyeste foundide it?
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
The Lord schal telle in the scripturis of puplis; and of these princis, that weren ther ynne.
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
As the dwellyng `of alle that ben glad; is in thee.