< Zaburi 87 >

1 Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
Han har grundlagt en Stad paa de hellige Bjerge.
2 Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
Herren elsker Zions Porte fremfor alle Jakobs Boliger.
3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
Der er herlige Ting sagt i dig, du Guds Stad! (Sela)
4 “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
Jeg vil nævne Rahab og Babel iblandt dem, som kende mig; se, Filisteren og Tyrieren samt Morianen: „Denne, han er født der.”
5 Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
Men til Zion skal der siges: Denne og hin er født i den, den Højeste selv skal befæste den.
6 Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
Herren skal tælle, naar han opskriver Folkene, og sige: „Denne er født der.” (Sela)
7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Og de, som synge, tillige med dem, som danse, skulle sige: Alle mine Kilder ere i dig.

< Zaburi 87 >