< Zaburi 85 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako. Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.
Hina Gode, Di da Dia soge amoma asigi hou hamoi, amola Di da Isala: ili bu noga: le hahamonesi.
2 Ulisamehe uovu wa watu wako, na kufunika dhambi zao zote.
Di da Dia dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoi dagoi, amola ilia wadela: i hou huluane gogolema: ne olofolesi dagoi.
3 Uliweka kando ghadhabu yako yote na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.
Di da ilima ougisu amo yolesi dagoi, amola gasa bagade nimi hou amo Di guminisi dagoi.
4 Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena, nawe uiondoe chuki yako juu yetu.
Nini gaga: su Gode, nini bu oule sinidigima, amola ninima hahawane hame ba: su amo yolesima!
5 Je, utatukasirikia milele? Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?
Di da mae yolele ninima gebewane ougi dialoma: bela: ? Dia ougi da mae gumini gebewane dialoma: bela: ?
6 Je, hutatuhuisha tena, ili watu wako wakufurahie?
Nini bu gasa filisima, amola Dia fi dunu ninia da Dima nodone sia: nanumu.
7 Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana, utupe wokovu wako.
Hina Gode, Dia mae fisili asigidafa hou amo ninima olema, amola Dia nini fidili gaga: ma.
8 Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana; anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake: lakini nao wasirudie upumbavu.
Na da Hina Gode Ea sia: be amo nabala. E da Ea fi dunuma hahawane olofosu hou amo imunusa: ilegele sia: sa, be amo da ninia musa: gagaoule hamonanusu hou amoga hame buhagisia,
9 Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao, ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.
E da dafawanedafa Ema nodone sia: be dunu amo gaga: musa: momagele ouesala, amola Ea gaga: su hou da ninia soge amo ganodini dialumu.
10 Upendo na uaminifu hukutana pamoja, haki na amani hubusiana.
Asigi hou amola didili hamosu hou da ela disimu! Moloidafa hou amola olofosu hou da ela yosia: mu.
11 Uaminifu huchipua kutoka nchi, haki hutazama chini kutoka mbinguni.
Dunu ilia madelagisu hou da osoboga gudunini gado heda: mu, amola Gode Ea moloidafa hou amo da fedege agoane Hebenega gadonini gudu ba: legudumu.
12 Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema, nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.
Hina Gode da nini bu noga: le hahamonesimu amola ninia soge da ha: i manu noga: le heda: mu.
13 Haki itatangulia mbele yake na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.
Moloidafa hou da Hina Gode Ea midadi bisili, E misa: ne logo fofodola masunu.

< Zaburi 85 >