< Zaburi 84 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, makao yako yapendeza kama nini!
Načelniku godbe pri Giteji, sinovom Koretovim psalm. Kako ljuba so prebivališča tvoja, o Gospod vojnih krdél!
2 Nafsi yangu inatamani sana, naam, hata kuona shauku, kwa ajili ya nyua za Bwana; moyo wangu na mwili wangu vinamlilia Mungu Aliye Hai.
Duša moja hrepeni in koprni, priti v veže Gospodove; srce moje in meso moje vpijeta v hrepenenji po živem Bogu mogočnem.
3 Hata shomoro amejipatia makao, mbayuwayu amejipatia kiota mahali awezapo kuweka makinda yake: mahali karibu na madhabahu yako, Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mfalme wangu na Mungu wangu.
Celo vrabec najde dom in lastovka si gnezdo, da v njem izvali mladiče svoje – o oltarji tvoji, o Gospod vojnih krdél, kralj moj in Bog moj!
4 Heri wale wanaokaa nyumbani mwako, wanaokusifu wewe daima.
Blagor jim, ki so prebivali v hiši tvoji, ki te zdaj še hvalijo!
5 Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako, na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
Blagor človeku, kateremu je dano v tebi stopati na steze tvoje po srca svojega želji.
6 Wanapopita katika Bonde la Baka, hulifanya mahali pa chemchemi, pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.
Kateri gredé po murbini dolini, imajo njega za studenec, katere tudi pokriva dež blagoslova,
7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu, hadi kila mmoja afikapo mbele za Mungu huko Sayuni.
Kateri hodijo od zbora do zbora, ki se prikaže pred Bogom na Sijonu.
8 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu; nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.
Gospod, Bog vojnih krdél, čuj molitev mojo; poslušaj, o Bog Jakobov!
9 Ee Mungu, uitazame ngao yetu, mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.
Ščit naš, poglej, o Bog; in glej maziljenca svojega obličje!
10 Siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine; afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
Ker boljši en dan v vežah tvojih, nego tisoč drugjé; raji hočem stopati čez prag v hiši Boga mojega, nego prebivati v krivice šatorih.
11 Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao, Bwana hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia.
Ker solnce in ščit je Gospod, Bog; milost in slavo daje Gospod; dobrega ne krati njim, ki hodijo v poštenosti.
12 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.
O Gospod vojnih krdél, blagor človeku, kateri ima zaupanje v tebe!