< Zaburi 83 >
1 Wimbo. Zaburi ya Asafu. Ee Mungu, usinyamaze kimya, usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.
Gode, Di ouiya: le mae dialoma! Di hamedigili mae dialoma! Mae ouiya: ma!
2 Tazama watesi wako wanafanya fujo, jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.
Ba: ma, Dima ha lai dunu da dodona: gi bagade, amola Dima higa: i dunu da Dima odoga: sa.
3 Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
Ilia da Dia dunu fi ilima hamomusa: sia: wamo ilegesa! Ilia da Dia gaga: i dunu fi amo wadela: lesimusa: wamo sia: ilegesa.
4 Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
“Misa!” ilia da sia: sa. “Ninia da ilia fifi asi amo wadela: lesila: di, amasea, Isala: ili da gogolesa, gogoleidafa dialoma: ne.”
5 Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,
Ilia da ilia hamomusa: ilegei amo hamomusa: sia: nu amola Dima didili hamomusa: , eno dunuma gilisisa.
6 mahema ya Edomu na Waishmaeli, ya Wamoabu na Wahagari,
Idome fi dunu amola Isiama: iele fi dunu, Moua: be fi dunu amola Ha: galaide fi,
7 Gebali, Amoni na Amaleki, Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.
Giba: le, A:mone amola A: malege fi dunu, amola Filisidini amola Daia fi dunu.
8 Hata Ashuru wameungana nao kuwapa nguvu wazao wa Loti.
Asilia fi amolawane da ilima madelale amola gasa bagade fili, A:moulaide amola Moua: be (Lode egaga fi) ilima gilisisa.
9 Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani, na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini hapo kijito cha Kishoni,
Di da Midia: ne fi amola Sisela amola Ya: bini ilima Gisione Hanoga hamoi, amo defele ilima hamoma.
10 ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.
Di da ili Enedo sogebia hasalasibiba: le, ilia da: i hodo da osobo da: iya dasale sa: i.
11 Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,
Di Olebe amola Sibe, elama hamoi defele, ilia bisilua amo ilima hamoma. Di da Siba amola Sa: lamouna hasalasi defele, ilima hamoma.
12 ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”
Elea da amane sia: i, “Ania da Gode Ea Soge amo anigili lamu.”
13 Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Gode! Gulu defele ili dudulisima! Widi gisi bioi defele foga mini masa: ma.
14 Kama vile moto uteketezavyo msitu au mwali wa moto unavyounguza milima,
Lalu da iwila soge nesea, lalu gona: su da agolo soge amo madelala asili, nene ahoa.
15 wafuatilie kwa tufani yako na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
Amo defele, wadela: i hou hamosu dunu Dia gasa bagade mulu amoga sefasima! Amola Dia gasa bagade fo amoga ili beda: ma: ma.
16 Funika nyuso zao kwa aibu ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.
Hina Gode! Ilia odagi amo gogosiasuga dedebosima, amola Dia gasa bagade hou amo dawa: digima: ma.
17 Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele, na waangamie kwa aibu.
Ilia da mae fisili eso huluane, hasalasu amola beda: su bagade fawane ba: mu da defea. Ilia da dafawane gugunufinisi galea fawane bogogia: ma: ma.
18 Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana, kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.
Difawane da Hina Gode, amo ilia dafawane dawa: ma: ma! Amola Difawane da osobo bagade amo ganodini Ouligisudafa amo ilia dawa: ma: ma.