< Zaburi 82 >
1 Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
Бог ста в сонме богов, посреде же боги разсудит.
2 “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
Доколе судите неправду, и лица грешников приемлете?
3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
Судите сиру и убогу, смирена и нища оправдайте:
4 Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
измите нища и убога, из руки грешничи избавите его.
5 “Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Не познаша, ниже уразумеша, во тме ходят: да подвижатся вся основания земли.
6 “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
Аз рех: бози есте, и сынове Вышняго вси:
7 Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
вы же яко человецы умираете, и яко един от князей падаете.
8 Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.
Воскресени, Боже, суди земли: яко Ты наследиши во всех языцех.