< Zaburi 82 >
1 Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
Бог стаде на сабору Божијем, усред богова изрече суд:
2 “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
"Докле ћете судити неправо, и безбожницима гледати ко је ко?
3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
Судите убогоме и сироти, оног кога гоне и ништега правдајте.
4 Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Избављајте убогога и ништега, из руке безбожничке отимајте.
5 “Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Не познаше, нити разумеше, ходе по тами; задрмаше се земљи сви темељи.
6 “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
Рекох: Богови сте, и синови Вишњег сви.
7 Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
Али ћете као људи помрети, и као сваки кнез пашћете."
8 Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.
Устани, Боже, суди земљи; јер су Твоји по наследству сви народи.