< Zaburi 82 >
1 Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
SI Yuus tumotojgue gui inetnon Yuus; ya jajusga gui entalo yuus sija.
2 “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
Asta ngaean nae unjusga ti tunas, yan unresibe y taotao sija ni y manaelaye? (Sila)
3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
Jusga y mamoble yan y manaesaena: ya nafanunas y manpinite yan y mannesesitao.
4 Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Rescata mamoble yan y mannesesitao: nafanlibre sija gui canae y manaelaye.
5 “Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Sa ti jatungo ni ujaquetungo: manmamomocatja gui jalom jomjom: ya todo y plinantan tano manalamten.
6 “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
Guajo ileco: Jamyo yuus; yan todo jamyo y famaguon y Gueftaquilo.
7 Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
Lao infanmataeja taegüije y taotao sija, yan infanbasnag taegüije y uno gui prinsipe sija.
8 Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.
Cajulo, O Yuus, jusga y tano: sa jago umerensia todo y nasion.