< Zaburi 81 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
聖歌隊の指揮者によってギテトのしらべにあわせてうたわせたアサフの歌 われらの力なる神にむかって高らかに歌え。ヤコブの神にむかって喜びの声をあげよ。
2 Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
歌をうたい、鼓を打て。良い音の琴と立琴とをかきならせ。
3 Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
新月と満月とわれらの祭の日とにラッパを吹きならせ。
4 hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
これはイスラエルの定め、ヤコブの神のおきてである。
5 Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
神が出てエジプトの国を攻められたとき、ヨセフのなかにこれを立てて、あかしとされた。わたしはかしこでまだ知らなかった言葉を聞いた、
6 Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
「わたしはあなたの肩から重荷をのぞき、あなたの手をかごから免れさせた。
7 Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
あなたが悩んだとき、呼ばわったのでわたしはあなたを救った。わたしは雷の隠れた所で、あなたに答え、メリバの水のほとりで、あなたを試みた。 (セラ)
8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
わが民よ、聞け、わたしはあなたに勧告する。イスラエルよ、あなたがわたしに聞き従うことを望む。
9 Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
あなたのうちに他の神があってはならない。あなたは外国の神を拝んではならない。
10 Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
わたしはエジプトの国から、あなたをつれ出したあなたの神、主である。あなたの口を広くあけよ、わたしはそれを満たそう。
11 “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
しかしわが民はわたしの声に聞き従わず、イスラエルはわたしを好まなかった。
12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
それゆえ、わたしは彼らをそのかたくなな心にまかせ、その思いのままに行くにまかせた。
13 “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
わたしはわが民のわたしに聞き従い、イスラエルのわが道に歩むことを欲する。
14 ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
わたしはすみやかに彼らの敵を従え、わが手を彼らのあだに向けよう。
15 Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
主を憎む者も彼らに恐れ従い、彼らの時はとこしえに続くであろう。
16 Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”
わたしは麦の最も良いものをもってあなたを養い、岩から出た蜜をもってあなたを飽かせるであろう」。

< Zaburi 81 >