< Zaburi 81 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
(Til Sangmesteren. Al-haggittit. Af Asaf.) Jubler for Gud, vor Styrke, råb af fryd for Jakobs Gud,
2 Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
istem Lovsang, lad Pauken lyde, den liflige Citer og Harpen;
3 Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
stød i Hornet på Nymånedagen, ved Fuldmåneskin på vor Højtidsdag!
4 hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
Thi det er Lov i Israel, et Bud fra Jakobs Gud;
5 Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
han gjorde det til en Vedtægt i Josef, da han drog ud fra Ægypten, hvor han hørte et Sprog, han ikke kendte.
6 Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
"Jeg fried hans Skulder for Byrden, hans Hænder slap fri for Kurven.
7 Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
I Nøden råbte du, og jeg frelste dig, jeg svarede dig i Tordenens Skjul, jeg prøvede dig ved Meribas Vande. (Sela)
8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
Hør, mit Folk, jeg vil vidne for dig, Israel, ak, om du hørte mig!
9 Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
En fremmed Gud må ej findes hos dig, tilbed ikke andres Gud!
10 Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
Jeg, HERREN, jeg er din Gud! som førte dig op fra Ægypten; luk din Mund vidt op, og jeg vil fylde den!
11 “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
Men mit Folk vilde ikke høre min Røst, Israel lød mig ikke.
12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
Da lod jeg dem fare i deres Stivsind, de vandrede efter deres egne Råd.
13 “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
Ak, vilde mit Folk dog høre mig, Israel gå mine Veje!
14 ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
Da kued jeg snart deres Fjender, vendte min Hånd mod deres Uvenner!
15 Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
Deres Avindsmænd skulde falde og gå til Grunde for evigt;
16 Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”
jeg nærede dig med Hvedens Fedme, mættede dig med Honning fra Klippen!"

< Zaburi 81 >