< Zaburi 81 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
Til Sangmesteren; til Githith; af Asaf.
2 Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
Synger med Fryd for Gud, vor Styrke, raaber med Glæde for Jakobs Gud!
3 Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
Istemmer Lovsang, og giver Trommen, den liflige Harpe med Psalteren hid!
4 hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
Blæser i Trompeten ved Nymaane, ved Fuldmaane, til vor Højtidsdag!
5 Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
Thi den er en Skik i Israel, en Lov for Jakobs Gud.
6 Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
Den satte han til et Vidnesbyrd i Josef, der han drog ud imod Ægyptens Land; jeg hørte en Røst, som jeg ikke kendte:
7 Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
„Jeg tog Byrden bort fra hans Skuldre, hans Hænder bleve befriede fra Bærekurven.
8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
Du paakaldte i Nøden, og jeg udfriede dig; jeg bønhørte dig fra Tordenskyens Skjul, jeg prøvede dig ved Meriba Vande. (Sela)
9 Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
Hør, mit Folk! og jeg vil vidne imod dig; Israel! gid du vilde høre mig.
10 Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
Der skal ingen fremmed Gud være hos dig, og du skal ikke tilbede andre Folks Gud.
11 “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
Jeg er Herren din Gud, som førte dig op fra Ægyptens Land; lad din Mund vidt op, og jeg vil fylde den.
12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
Men mit Folk hørte ikke min Røst, og Israel vilde ikke tjene mig.
13 “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
Og jeg lod dem fare i deres Hjertes Stivhed; de vandrede efter deres egne Raad.
14 ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
Gid mit Folk vilde høre mig! gid Israel vilde vandre paa mine Veje!
15 Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
Da vilde jeg om et lidet ydmyge deres Fjender og vende min Haand imod deres Modstandere.
16 Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”
De, som hade Herren, skulde smigre for det, og deres Tid skulde vare evindelig. Og jeg skulde bespise det med den bedste Hvede, ja, jeg vilde mætte dig med Honning af en Klippe”.

< Zaburi 81 >