< Zaburi 80 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
Pour la fin, pour ceux qui seront changés, témoignage d’Asaph, psaume. Vous qui gouvernez Israël, soyez attentif: vous qui conduisez, comme une brebis, Joseph. Vous qui êtes assis sur les Chérubins, manifestez-vous
2 mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
Devant Ephraïm, Benjamin et Manassé.
3 Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Ô Dieu, convertissez-nous, et montrez votre face, et nous serons sauvés.
4 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
Seigneur, Dieu des armées, jusques à quand serez-vous irrité au sujet de la prière de votre serviteur?
5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
Jusques à quand nous nourrirez-vous d’un pain de larmes, et nous donnerez-vous à boire des larmes dans une mesure?
6 Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
Vous nous avez posés comme un objet de contradiction à nos voisins; et nos ennemis nous ont insultés.
7 Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
Dieu des armées, convertissez-nous, et montrez votre face, et nous serons sauvés.
8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
Vous avez transporté de l’Égypte une vigne, vous avez chassé des nations, et vous l’avez plantée.
9 Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
Vous avez été un guide de route devant elle: vous avez planté ses racines, et elle a rempli la terre.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
Son ombre a couvert les montagnes, et ses rameaux les cèdres de Dieu.
11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Elle a étendu ses branches jusqu’à la mer, et ses rameaux jusqu’au fleuve.
12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
Pourquoi donc avez-vous détruit son mur de clôture, et pourquoi la vendangent-ils, tous ceux qui passent dans le chemin?
13 Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
Un sanglier de forêt l’a entièrement dévastée; et une bête sauvage l’a broutée.
14 Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
Dieu des armées, revenez, regardez du haut du ciel et voyez, et visitez cette vigne.
15 mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Faites-la prospérer, celle que votre droite à plantée, et portez vos regards sur le fils de l’homme que vous avez établi fermement pour vous.
16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
Elle a été brûlée par le feu et déchaussée; par la réprimande de votre visage ils périront.
17 Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Que votre main repose sur l’homme de votre droite, et sur le fils de l’homme que vous avez établi fermement pour vous.
18 Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
Et nous ne nous éloignerons plus de vous; vous nous rendrez la vie, et nous invoquerons votre nom.
19 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Seigneur, Dieu des armées, convertissez-nous; et montrez votre face, et nous serons sauvés.

< Zaburi 80 >