< Zaburi 80 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
Voor muziekbegeleiding; op de wijze: "Leliën der Wet." Een psalm van Asaf. Herder van Israël, ach, wil toch horen: Gij, die Josef leidt als een kudde; Die troont op de Cherubs, laat stralen uw licht
2 mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
Over Efraïm, Benjamin en Manasse; Doe uw kracht weer ontwaken, En kom ons te hulp!
3 Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
O God, richt ons weer op; Laat uw aanschijn lichten, dat we worden gered!
4 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
God der heirscharen, Jahweh, Hoelang nog blijft Gij vergramd ondanks het gebed van uw volk!
5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
Hoelang nog laat Gij ons tranenbrood eten, En tranen drinken bij stromen;
6 Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
Maakt Gij ons tot twistappel voor onze buren, En zal onze vijand de spot met ons drijven?
7 Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
God der heirscharen, richt ons weer op; Laat uw aanschijn lichten, dat we worden gered!
8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
Een wijnstok hebt Gij uit Egypte overgebracht, Volkeren uitgetrokken, om hem te planten;
9 Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
Gij hebt hem plaats gemaakt, zodat hij wortel kon schieten, En het hele land kon begroeien.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
Zijn lommer bedekte de bergen, Zijn ranken Gods ceders;
11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Hij strekte zijn takken uit tot de Zee, Zijn loten naar de Rivier.
12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
Maar waarom hebt Gij dan zijn omheining vernield, Zodat iedereen, die voorbij gaat, hem leeg plukt,
13 Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
Het everzwijn uit het woud hem ontwortelt, Het veldgedierte hem kaal vreet?
14 Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
Jahweh der heirscharen, ach, keer toch terug, Blik neer uit de hemel, zie toe; Zoek deze wijnstok weer op,
15 mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
De stek, die uw rechterhand heeft geplant!
16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
Laat, die hem als vuilnis verbranden, Vergaan voor uw dreigende blik!
17 Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Maar laat uw hand op de man blijven rusten, Uw rechter op het mensenkind, dat Gij groot hebt gebracht;
18 Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
Laat ons toch nimmermeer van U wijken, Maar doe ons weer leven, en wij eren uw Naam!
19 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
God der heirscharen, Jahweh, richt ons weer op; Laat uw aanschijn lichten, dat we worden gered!