< Zaburi 80 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
Isala: ili fi Sibi Ouligisudafa! Ninia sia: be nabima! Di da Dia Hadigidafa Fisu da: iya ougia hamoi esafulubi liligi amo dabua gadodafa fisa.
2 mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
Ifala: ime fi, Bediamini fi, Ma: na: se fi amola nini huluane ba: ma: ne, Dia gasa bagade hou ninima olelema. Nini gaga: la misa.
3 Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Gode! Nini Dima sinidigili misa: ne oule misa! Dia asigili olofosu hou ninima olema. Amasea, nini da gaga: i dagoi ba: mu.
4 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
Hina Gode Bagadedafa! Habowali seda Di da Dia fi dunu ilia Dima sia: ne gadobe amoga ougi dialoma: bela: ?
5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
Di da ninima se nabasu amo nabima: ne iasi. Amola Di da nini dinanoma: ne si hano faigeleiga nabai agoai ninima iasi.
6 Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
Di da nini guba: le fifi lai, ilia ninia soge amo sia: ga gegema: ne yolesi. Amaiba: le, ninima ha lai dunu ilia da ninima gadesa.
7 Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
Gode Bagadedafa! Nini Dima sinidigili misa: ne oule misa! Dia asigili gogolema: ne olofosu hou ninima ima! Amasea, nini da gaga: i dagoi ba: mu!
8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
Di da Idibidi soge amogainini waini efe gaguli misi. Di da eno fifi asi ili sefasilalu, ilia sogea amogai waini efe bugi.
9 Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
Di da amo efe bugi heda: ma: ne none yo abi. Amo efe bugi ea difi da gududafa sa: ili, Isala: ili soge huluane gigisila asi.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
Amo efe da gigisila asili agolo soge huluane ougigala: i. Amola ea amoda da agologa afufuli, dolo ifa bagadedafa amo ougihai.
11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Ea amoda da bu baligili sa: loba afufuli, Medidela: inia hano wayabo bagade bega: doaga: i amola asili Iufala: idisi hano bega: doaga: i.
12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
Abuliba: le Dia da amo efe bugi beba: le gagoi amo mugululi sanasibala: ? Waha eno dunu amodili bobaligilalebe, ilia da amo efe fage wamo faili manusa: dawa:
13 Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
Gebo sigua da amo waini efe sagai dogone muwane sala, amola sigua ohe da amo nana.
14 Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
Gode Bagadedafa! Ninima ba: le guda: ma! Hebene gadonini ninima ba: leguduma. Di da misini, Dia fi dunu gaga: la misa!
15 mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Di da misini, waini efe Dia bugisi, amola gasa fili heda: ma: ne hamoi, amo noga: le gaga: ma.
16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
Ninima ha lai dunu amo waini sagai laluga ulagisili dadamuni sali dagoi. Dia ilima ougili ili gugunufinisima!
17 Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Dia da fi Dia ilegei amola gasa bagade hahamoi, amo noga: le ouligima amola gaga: ma!
18 Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
Ninia da Dima bu hamedafa baligi fa: mu. Nini da esaloma: ne, Dia hamoma. Amasea, ninia da Dima nodone sia: nanumu.
19 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Hina Gode Bagadedafa! Nini Dima sinidigima: ne, oule misa! Ninima Dia gogolema: ne olofosu ima! Amasea, nini da gaga: i dagoi ba: mu.