< Zaburi 8 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote! Umeuweka utukufu wako juu ya mbingu.
[Psalm lal David] O LEUM GOD, kom Leum lasr; Fulat lom akilenyuk fin faclu nufon! Kaksakinyom sowak sun kusrao,
2 Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa, kwa sababu ya watesi wako, kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.
Onkakinyuk sin tulik srisrik ac tulik fusr. Kom oakiya sie pot ku in kosrala mwet lokoalok lom Tuh kom in tulokinya kutena mwet su lain kom.
3 Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,
Ke nga ngetak ac liye kusrao su kom orala, Malem ac itu, su kom oakiya in acn selos,
4 mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
Mea mwet, tuh kom in nunku kacl; Ac mea se mwet uh, tuh kom in saokkin?
5 Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
Nwe ouinge, kom oru tuh elos in pusisel kutu srisrik liki kom, Ac sonelosi ke wolana ac sunak.
6 Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
Kom oru tuh elos in leum fin orekma nukewa lun poum; Ac filiya ma nukewa ye nialos:
7 Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
Sheep ac cow, oayapa kosro nukewa inimae,
8 ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
Won yen engyeng uh, ac ik in meoa, Ac ma moul nukewa inkof uh.
9 Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
O LEUM GOD, kom Leum lasr, Fulat lom akilenyuk fin faclu nufon!

< Zaburi 8 >