< Zaburi 8 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote! Umeuweka utukufu wako juu ya mbingu.
Kathutkung: Devit Oe kaimae Bawipa, Jehovah teh, talai van pueng dawk na min ahawi toungloung. Na bawilennae teh kalvannaw lathueng vah na ta.
2 Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa, kwa sababu ya watesi wako, kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.
Bangkongtetpawiteh, na tarannaw kecu dawk moipathungkung hoi taran na roum sak thai nahanlah, sanu ka net e camonaw pahni dawk hoi thaonae hah na cak sak.
3 Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,
Na kutdawn hoi na sak e kalvannaw hoi na caksak e thapa hoi âsinaw hah ka khet navah,
4 mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
tami heh banglamouh ao teh, na lungthung hoi na pouk. Tami capa heh banglamouh ao teh khuet na pai sin.
5 Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
Bangkongtetpawiteh, ahni hah kalvantaminaw hlak bet ka rahnoum lah na sak teh, bawilennae hoi pholennae hah na kâmuk sak.
6 Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
Na kutsaknaw koe kâ na tawn sak teh, a khok rahim bangpuengpa na hruek pouh.
7 Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
Maitotan hoi tu pueng hai, kahrawngum e saring pueng hoi,
8 ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
kalvan e tavanaw hoi, talî thung e tanganaw hoi, talaipui thung kaawm e pueng hoi,
9 Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
Oe BAWIPA, kaimae Bawipa, talai van pueng dawk na min teh ahawi toungloung.