< Zaburi 8 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote! Umeuweka utukufu wako juu ya mbingu.
O Yahweh Pakai, ka-Pakai u, leiset chunga hi itilom loma naming loupi hitam! naloupi nahi vanho sangin asangjon ahi.
2 Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa, kwa sababu ya watesi wako, kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.
Nangin chapang hole naosen ho kamsunga nathahat naho nahil in, hiti chun nagalmi hole nangma douho nasuthipjin ahi.
3 Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,
Keiman janteng vanthamjol kavet akangaito jiteng, nakhut jung ho natoh in lhathah le ahsi ho agongtoh sel ui.
4 mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
Mihem hi ipi hija hibanga nagelkhoh'a, Mihem Chapa hi ipi dinga hibanga hi nakhohsah ham?
5 Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
Nang'in amaho hi Vantil sanga themchabou nemjep in nakoi jin, loupina le jana dimset in lallukhuh nakhuhpeh e.
6 Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
Nangin nathilsemsaho jouse chunga vaihop na napen, thiljouse akhutnoija nakoitan ahi:
7 Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
Kelngoiho le bong ho chule gamsahang ho jouse,
8 ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
Vantham jol'a vachate, twikhang len'a nga-ho chule twikhang len'a kijap jouse ahiuve.
9 Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
O Yahweh Pakai, ka-Pakai u, leiset chunga hi itilom loma naming loupi hitam!