< Zaburi 78 >
1 Utenzi wa Asafu. Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
ECUNGOG, O taotaojo, y tinagojo: na inecungog ni y talanganmo y sinangan y pachotto.
2 Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo, nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:
Bae jubaba y pachotto gui acomparasion: bae jusangan sinangan na gui jemjom gui ampmam na tiempo.
3 yale ambayo tuliyasikia na kuyajua, yale ambayo baba zetu walituambia.
Ayosija ni y injingog yan y intingo, yan y tatanmame ni jasanganejam.
4 Hatutayaficha kwa watoto wao; tutakiambia kizazi kijacho matendo yastahiliyo sifa ya Bwana, uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
Ti innafanatog sija guinin y famaguonñija, masangangane y generasion ni y manmamamaela ni y tinina sija gui Señot, yan y minetgotña yan y mannamanman na chechoña ni y jachogüe.
5 Aliagiza amri kwa Yakobo na akaweka sheria katika Israeli, ambazo aliwaamuru baba zetu wawafundishe watoto wao,
Sa güiya munacajulo y testimonio gui as Jacob, yan japolo tinago guiya Israel, ni y janatungo sija y famaguonñija.
6 ili kizazi kijacho kizijue, pamoja na watoto ambao watazaliwa, nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.
Para ujatungo y generasion ni y manmamamaela, y famaguonja ni y finañagonñija; ni y ufangajulo ya ujasangane y famaguonñija.
7 Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake.
Para usiña japolo y ninanggañija gui as Yuus, ya ti ufanmalefa ni y checho Yuus, lao jaadaje y tinagoña sija.
8 Ili wasifanane na baba zao, waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi, ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake, ambao roho zao hazikumwamini.
Ya chañija fanaegüigüije y tatañija; un generasion ni managuaguat yan ti manmalago manmanosgue: y generasion ni y ti japolo y corasonñija gui tinas, yan ayo na espirituñija y ti manfitme gui as Yuus.
9 Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.
Y famaguon Efraim, guaja atmas yan manmañule y atcos sija, manalo tate gui jaanen y guera.
10 Hawakulishika agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.
Ti jaadaje y traton Yuus, ya ti manmalago na ufanmamocat gui tinagoña.
11 Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonyesha.
Ya manmalefa ni y chechoña, yan y ninamanmanña ni y manfinanue sija.
12 Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.
Namanman na güinaja finatinasña gui menan y tatañija, gui tano Egipto, gui fangualuan Soan.
13 Aliigawanya bahari akawapitisha, alifanya maji yasimame imara kama ukuta.
Jadebide y tase ya janafanmalofan gui inanaco sija todo; yan janafañaga y janom taegüije y monton.
14 Aliwaongoza kwa wingu mchana na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.
Ya y jaane janafanenesgaegaejonja ni y mapagajes; yan todo puenge y finañila y guafe.
15 Alipasua miamba jangwani na akawapa maji tele kama bahari,
Japanag y acho gue desierto, ya janae sija na ufanguinem taegüije na jumuyong guinin y dangculon tinadong.
16 alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka, akayafanya maji yatiririke kama mito.
Ya mañule minilalag locue guinin y acho, yan janafalalago y janom taegüije y sadog.
17 Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.
Lao trabia sisigueja mas isagüegüe, ya manmanembeste contra Gueftaquilo gui desierto.
18 Kwa makusudi walimjaribu Mungu, wakidai vyakula walivyovitamani.
Ya sija jatienta si Yuus gui corasonñija, yan mangagagao catne pot y güinaeyañija.
19 Walinena dhidi ya Mungu, wakisema, “Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?
Magajet na sija manguentos contra si Yuus; ilegñija: Ada siña si Yuus jafamaulequejit lamasa gui desierto?
20 Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu, vijito vikatiririka maji mengi. Lakini je, aweza kutupa chakula pia? Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”
Sa, estagüe, na anae japanag y acho, manjuyong y janom, ya y minilalag manmachuchuda. Ada siña güe manae pan locue? umafamauleg catne para y taotaoña?
21 Bwana alipowasikia, alikasirika sana, moto wake ukawa dhidi ya Yakobo, na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,
Enao mina anae jajungog este, y Señot ninabubo: ya umasonggue y guafe contra as Jacob, yan y linalalo locue cajulo contra Israel;
22 kwa kuwa hawakumwamini Mungu, wala kuutumainia ukombozi wake.
Sa ti jajonggue si Yuus, yan ti jaangoco sija gui satbasionña.
23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,
Lao güiya tumago y mapagajes guinin y sanjilo; yan jababa y pettan langet.
24 akawanyeshea mana ili watu wale; aliwapa nafaka ya mbinguni.
Yan janauchan papa y mana gui jiloñija para ujacano, yan janae sija ni y maies y langet.
25 Watu walikula mkate wa malaika, akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.
Y taotao cumano y na y manmetgot: güiya numae sija catne para ufanjaspog.
26 Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.
Jatago y manglo sancatan na ufanguaefe gui jalom y langet: yan pot y ninasiñaña jachachalane y manglo sanjaya.
27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, ndege warukao kama mchanga wa pwani.
Janauchan catne locue gui jiloñija taegüije y petbos; yan y pajaro ni gaepapa taegüije inae gui tase;
28 Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao, kuzunguka mahema yao yote.
Ya japolo ayo sija na ufanbasnag gui entalo y campoñija, ya gui oriyan y sagañija.
29 Walikula na kusaza, kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
Ya sija jacano, ya mangosjaspog sija; sa güiya numae sija ni y tinangañiñija.
30 Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
Lao ti janajanao guiya sija y tinangañija; lao estabaja trabia y catneñija gui jalom y pachotñija,
31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.
Ya y binibon Yuus mato gui jiloñija, ya japuno y mas manyomog guiya sija, yan jayute papa y patgon na taotao sija guiya Israel.
32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.
Lao contodo este, sigueja di maaiisao trabia: yan ti majonggue y mamnamanman na chochoña.
33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.
Ya pot este na y jaaneñija janafanlinachae ni y banidá; yan y sacanñija gui minaañao.
34 Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
Ya anae japuno sija, ayo nae manafaesen pot güiya yan jabira sija ya maaligao guse si Yuus.
35 Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao, kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.
Yan jajaso na si Yuus y achoñija, yan y Gueftaquilo na Yuus y Satbadotñija.
36 Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,
Achogja ujafaande güe ni y pachotñija yan ujadague ni y jilañija.
37 mioyo yao haikuwa thabiti kwake, wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
Sa y corasonñija ti tunas guiya güiya: ni ufanfitme gui tratuña.
38 Hata hivyo alikuwa na huruma, alisamehe maovu yao na hakuwaangamiza. Mara kwa mara alizuia hasira yake, wala hakuchochea ghadhabu yake yote.
Lao güiya, bula minaase jaasie ni y tinaelayeñija, yan ti jayuyulang sija: magajet, megae na tiempo nae jabira y linalaloña, yan ti jajatsa julo y binibuña.
39 Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu, upepo upitao ambao haurudi.
Sa jajaso na sija catneja; y manglo na malofan ya mapos ya ti mamaela talo.
40 Mara ngapi walimwasi jangwani na kumhuzunisha nyikani!
Cuanto biaje manmanembeste contra güiya gui jalomtano yan manatriste güe gui desierto!
41 Walimjaribu Mungu mara kwa mara, wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Ya manalo tate ya matienta si Yuus; ya macase y Santosgüe guiya Israel.
42 Hawakukumbuka uwezo wake, siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,
Ya ti jajaso y canaeña; ni jaane anae ninafanlibre gui contrario.
43 siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri, maajabu yake huko Soani.
Ni y pineloña na señatña guiya Egipto: yan y ninamanmanña gui fangualuan Soan:
44 Aligeuza mito yao kuwa damu, hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.
Yan jatulaeca y Sadog janajâgâ; yan y minilalag para chañija fanguiguimen.
45 Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala, na vyura wakawaharibu.
Janae megae na lalo para ufanquinano; yan rana sija para ufanyinilang.
46 Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao, mazao yao kwa nzige.
Janae y ilo oruga ni y aumentan tano; ya y finachochoñija y apacha.
47 Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
Jayulang y fangualuanñija ubas ni y ichan grano; yan y trongco igos sija ni y hielo.
48 Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe, akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.
Japolo y gañija gâgâ locue gui papa y ichan grano, ya y manadan gañija gui minaepen lamlam.
49 Aliwafungulia hasira yake kali, ghadhabu yake, hasira na uadui, na kundi la malaika wa kuharibu.
Jayute gui jiloñija y fijom na binibuña; binibo, linalalo, yan chinatsaga; y manadan manaelaye na angjet sija.
50 Aliitengenezea njia hasira yake, hakuwaepusha na kifo, bali aliwaachia tauni.
Mamatinas chalan para y linalaloña; ya ti jachoma y antiñija guinin y finatae, lao japolo y linâlâñija gui peste.
51 Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri, matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.
Ya japuno todo y finenena na finañagon guiya Egipto, y mas magas naminetgotñija gui jalom y tiendan Cam!
52 Lakini aliwatoa watu wake kama kundi, akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.
Lao chalane juyong y taotaoña taegüije y quinilo sija, yan jaesgagaejon sija gui desierto taegüije y manadan, gâgâ.
53 Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.
Ya jachule sija gui seguro, ya sija ti manmaañao: lao y tase tumampe y enimigoñija.
54 Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu, hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.
Ya jacone sija asta y oriyan y sinantos na sagaña, güineja na ogso ni y guinanan y agapa na canaeña.
55 Aliyafukuza mataifa mbele yao, na kuwagawia nchi zao kama urithi, aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
Jayute juyong y nasion locue gui menañija, yan jafacae guiya sija y erensiañija ya jaraya, ya janafañaga y tribon Israel gui jalom y tiendañija.
56 Lakini wao walimjaribu Mungu, na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana, wala hawakuzishika sheria zake.
Lao sija trabia jatietentaja, yan manmanembebesteja contra y Gueftaquilo na Yuus, yan ti jaadaje y tinagoña.
57 Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu, wakawa wasioweza kutegemewa kama upinde wenye kasoro.
Lao manalo tate, yan manmafatinas dinague taegüije y tatañija: ya manmabira sija gui un banda taegüije y dacon na atco.
58 Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu, wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.
Sa macase güe ya mannalalalo pot y sagañija ni taquilo ya masuog güe ya manafanugo ni y imageñija ni tinaga.
59 Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana, akamkataa Israeli kabisa.
Anae jajungog este si Yuus, ninabubo, yan jagoschatlie iya Israel.
60 Akaiacha hema ya Shilo, hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.
Ya pot ayo na jadingo y tabetnaculo guiya Silo, yan y tienda ni y japolo gui entalo taotao sija.
61 Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani, utukufu wake mikononi mwa adui.
Ya janae ni y minetgotña y cautibo, ya y minalagña gui canae y contrario.
62 Aliachia watu wake wauawe kwa upanga, akaukasirikia sana urithi wake.
Janae y espada ni y taotaoña: yan ninabubo ni y erensiaña.
63 Moto uliwaangamiza vijana wao, na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
Linachae ni y guafe y manpatgon na lalaje; ya y manpatgon na famalaoan taya cantan umasagua.
64 makuhani wao waliuawa kwa upanga, wala wajane wao hawakuweza kulia.
Ya y mamaleñija manmodong gui espada; ya y manbiuda sija ti ninafantriste.
65 Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.
Ya y Señot magmata taegüije y uno ni y guinin mamaego, yan taegüije y matatñga na taotao ni y ninaaagang pot rason di y bino.
66 Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.
Ya japuno y enimiguña sija ni y mañasaga gui santate: yan japolo sija güi taejinecog na minamajlao.
67 Ndipo alipozikataa hema za Yosefu, hakulichagua kabila la Efraimu,
Ademas jarechasa y tabetnaculo gui as José, ya ti jaayeg y tribon Efraim.
68 lakini alilichagua kabila la Yuda, Mlima Sayuni, ambao aliupenda.
Lao jaayeg tribon Juda, ayo ogso Sion ni y güinaeyaña.
69 Alijenga patakatifu pake kama vilele, kama dunia ambayo aliimarisha milele.
Ya jafatinas y sinantos na sagaña taegüije y manaquilo na sagayan sija, taegüije y tano na japlanta para taejinecog.
70 Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.
Jaayeg si David locue na tentagoña, yan jacone güe guinin y quelat y quinilo,
71 Kutoka kuchunga kondoo alimleta kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo, wa Israeli urithi wake.
Chinile güe ni guinin jatatitiye y manmanago na quinilo ya jacone para unafañocho y taotaoña gui as Jacob yan y erensiaña guiya Israel.
72 Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo, kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.
Ya taegüije janafañocho sija segun y tininas y corasonña; yan jaesgaejon sija pot y tiningon y canaeña.