< Zaburi 77 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu. Nilimlilia Mungu ili anisaidie, nilimlilia Mungu ili anisikie.
BAE juagang si Yuus ni y inagangjo; magajet na si Yuus ni y inagangjo; ya güiya jumungogyo.
2 Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana, usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka na nafsi yangu ilikataa kufarijika.
Y jaane y chinatsagaco jualigao y Señot: y canaejo maestira gui puenge ya pumapara: y antijo ti malago manamagof.
3 Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni; nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.
Jujajaso, si Yuus ya janaestotbayo: umuugongyo, sa y espiritujo lalalango. (Sila)
4 Ulizuia macho yangu kufumba; nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.
Jago unadaje y atadogjo ni taemaego: sa taegüije chatsagayo na ti siñayo cumuentos.
5 Nilitafakari juu ya siku zilizopita, miaka mingi iliyopita,
Sa guajo jujajaso y jaane ni y ampmam manmalofan, yan y sacan ni y ampmam na tiempo.
6 nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku. Moyo wangu ulitafakari na roho yangu ikauliza:
Jujajaso y cantaco gui puenge: jujajaso ni y corasonjo; ya y espiritujo guine guefaligao?
7 “Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?
Ada uyute y Señot para taejinecog? ya ti utalo y finaboresiña?
8 Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele? Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?
Cao y minaaseña usenjanaoja para taejinecog? ya y promesaña ufanlingo para taejinecog?
9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
Ya malefa si Yuus na uyóase? ya pot y linalaloña na jajuchom y güinaeyaña? (Sila)
10 Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
Ya guajo ileco: Este y dinafejo: lao bae jujaso y sacan sija gui agapa na canae y Gueftaquilo.
11 Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
Bae jusangan y checho Jeova: sa bae jujaso y ninamanmanmo gui ampmam na tiempo.
12 Nitazitafakari kazi zako zote na kuyawaza matendo yako makuu.
Bae jujaso locue todo y chechomo, yan jusangan sumanjalomjo y finatinasmo.
13 Ee Mungu, njia zako ni takatifu. Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?
Y chalanmo, O Yuus, gague gui sinantos na sagayan: jaye dangculo na yuus calang y Yuusta?
14 Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza, umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.
Jago y Yuus ni y fumatinas y mannamanman: jago munamatungo y minetgotmo gui taotao sija.
15 Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako, uzao wa Yakobo na Yosefu.
Jago yan y canaemo munafanlibre y taotaomo; ni y famaguon Jacob yan José. (Sila)
16 Maji yalikuona, Ee Mungu, maji yalikuona yakakimbia, vilindi vilitetemeka.
Y janom malie jao, O Yuus, y janom malie jao, ya sija ninafanmaañao: ya y tinadong locue ninafanmayengyong.
17 Mawingu yalimwaga maji, mbingu zikatoa ngurumo kwa radi, mishale yako ikametameta huku na huko.
Y mapagajes sija manmañuñuda janom: ya y langet mannae y inagang: ya y flechamo locue manjanao juyong.
18 Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli, umeme wako wa radi ukaangaza dunia, nchi ikatetemeka na kutikisika.
Ya y palampan y jilumo estaba gui remolino; ya y lamlam maniiina gui tano: ya y tano manmayengyong yan manlalaolao.
19 Njia yako ilipita baharini, mapito yako kwenye maji makuu, ingawa nyayo zako hazikuonekana.
Y chalanmo gui tase, ya y finaposmo gui mandangculo na janom, ya y guinachamo ti matungo.
20 Uliongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Mose na Aroni.
Jago umesgaejon y taotaomo taegüije y manadang quinilo pot y canae Moises yan Aaron.

< Zaburi 77 >