< Zaburi 77 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu. Nilimlilia Mungu ili anisaidie, nilimlilia Mungu ili anisikie.
Na da ha: giwane Godema dini iaha. Na da ha: giwane dini iasea, E da na dibi naba.
2 Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana, usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka na nafsi yangu ilikataa kufarijika.
Bidi hamosu eso da nama doaga: sea, na da Hina Godema sia: ne gadosa. Na da daeya asili hahabe, na lobo gaguia gadole, sia: ne gadosa. Be na da dogo denesisu hame ba: sa.
3 Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni; nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.
Na da Gode dawa: sea, amola bobolesa. Na da na dogo ganodini dadawa: ahoasea, na da da: i dione dawa: sa.
4 Ulizuia macho yangu kufumba; nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.
Gode da daeya asili hahabe na mae golama: ne si daganesisa. Na da bagadewane se nabawane dadawa: beba: le, sia: mu gogolesa.
5 Nilitafakari juu ya siku zilizopita, miaka mingi iliyopita,
Na da eso bobaligila asi amo dawa: lala. Amola ode musa: bobaligila asi amo dawa: lala.
6 nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku. Moyo wangu ulitafakari na roho yangu ikauliza:
Na da gasi ganodini osodogone asigi dawa: suga dadawa: ahoa. Na dogo ganodini dawa: be amoga na da nisu agoane adole ba: sa,
7 “Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?
“Hina Gode da eso huluane nini higama: bela: ? E da ninima eso huluane hahawane hame ba: ma: bela: ?
8 Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele? Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?
E da ninima asigilalusu amo yolebela: ? Ea ninima ilegele sia: i amo da yolesila: ?
9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
Gode da ninima asigi gogolema: ne olofosu hou amo gogolebela: ? Ea asigi hou da afadenene bu ougi hou amoga dedebobela: ?”
10 Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
Amalalu, na da amane sia: i, “Na baligili se nabasu da agoaiwane gala. Gode da Ea gasa hou fisi dagobela: ?”
11 Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
Hina Gode! Na da Dia bagadedafa hamobe hou bu dawa: lumu. Na da noga: idafa bagade hamobe Dia da musa: hamoi, amo dawa: lumu.
12 Nitazitafakari kazi zako zote na kuyawaza matendo yako makuu.
Na da Dia hamoi liligi huluane bu dawa: lumu. Dia gasa bagade hamobe liligi, amo na da dawa: lumu.
13 Ee Mungu, njia zako ni takatifu. Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?
Gode! Dia hamobe liligi huluanedafa da hadigi fawane. Eno ‘gode’ liligi da Di agoai hame. Bai Di da baligili bagadedafa.
14 Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza, umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.
Di da Gode amo da degabo ba: su hou hamosa. Di da fifi asi gala amo ganodini Dia gasa bagade hou olelesu.
15 Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako, uzao wa Yakobo na Yosefu.
Di da Dia gasa bagade amoga Dia fi dunu gaga: i. Dia fi dunu da Ya: igobe amola Yousefe elagaga fi esala.
16 Maji yalikuona, Ee Mungu, maji yalikuona yakakimbia, vilindi vilitetemeka.
Gode! Hano huluane da Diba: le beda: i. Amola hano wayabo bagade ea lugudu sogebi ilia da yagugui.
17 Mawingu yalimwaga maji, mbingu zikatoa ngurumo kwa radi, mishale yako ikametameta huku na huko.
Mu mobi da gibu hano sogadigi. Gugelebe da mu amoga gobagala: su. Ha: ha: na da la: idi la: idi huluane digagala: su.
18 Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli, umeme wako wa radi ukaangaza dunia, nchi ikatetemeka na kutikisika.
Gugelebe da gobagala: su. Ha: ha: na digagala: su da osobo bagade hadigilisisu. Osobo bagade da fofogoi dagoi.
19 Njia yako ilipita baharini, mapito yako kwenye maji makuu, ingawa nyayo zako hazikuonekana.
Di da hano gafului amodili ahoasu. Di da hano wayabo bagade lugudu amo degesu. Be Dia emo osa: ibu da hamedafa ba: su.
20 Uliongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Mose na Aroni.
Mousese amola Elane ela da Dia fi ouligisu. Be Di fawane, sibi ouligisu dunu agoane, ili oule asi.