< Zaburi 76 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
Asafa dziesma, dziedātāju vadonim, dziedama ar koklēm. Dievs ir atzīts iekš Jūda, iekš Israēla viņa vārds ir liels;
2 Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
Un Salemē ir Viņa telts, un Ciānā Viņa dzīvoklis.
3 Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
Tur Viņš salauza stopa bultas, priekšturamās bruņas un zobenu un karu.(Sela.)
4 Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
Spožs Tu esi un augsts uz kalniem, kur laupījumu sakrāj.
5 Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
Tie sirds lepnie ir aplaupīti un guļ savā miegā; visiem vareniem ļaudīm rokas nogurušas.
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
No Tavas rāšanās, ak Jēkaba Dievs, nāves miegā nogāzti rati un zirgi.
7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
Tu, Tu esi bijājams, un kas Tavā priekšā var pastāvēt Tavas dusmības laikā?
8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
No debesīm Tu lieci dzirdēt tiesu, zeme bīstas un top klusa,
9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
Kad Dievs ceļas uz sodību, palīdzēt visiem bēdīgiem virs zemes. (Sela)
10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
Kad cilvēki bargojās, tad Tavs gods paaugstinājās, un ar visukarstām dusmām Tu apjozies.
11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
Solāties un maksājiet Tam Kungam, savam Dievam. Visi, kas ap Viņu, lai nes dāvanas Tam bijājamam,
12 Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Kas sirdi paņem lieliem kungiem, un ir bijājams pasaules ķēniņiem.