< Zaburi 76 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
Dem Sangmeister, mit Saitenspielbegleitung. / Ein Psalm Asafs; ein Lied.
2 Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
Wohlbekannt in Juda ist Elohim, / In Israel ist sein Name groß.
3 Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
Ist doch in Salem sein Zelt / Und seine Wohnung in Zion.
4 Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
Dort zerbrach er des Bogens Blitze, / Schild und Schwert und alle Waffen. (Sela)
5 Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
Von Licht umflossen bist du, herrlich kommst du / Von den Bergen der Beute her:
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
Entwaffnet wurden die Tapfern, sie sanken in Todesschlaf, / Und allen Helden versagte der Arm.
7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
Vor deinem Drohen, Gott Jakobs, / Wurden Roß und Reiter betäubt.
8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
Du bist furchtbar, ja du! / Wer besteht vor dir, wenn dein Zorn sich erhebt?
9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
Vom Himmel herab hast du Gericht verkündet: / Die Erde erschrak und wurde still,
10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
Als sich Elohim zum Gericht erhob, / Um allen Duldern des Landes zu helfen. (Sela)
11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
Die mit Wut Verfolgten werden dich preisen; / Die von der Wut Verschonten werden dir Feste feiern.
12 Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Tut Jahwe, eurem Gott, Gelübde und tragt sie ab! / Ihr alle ringsum, bringt dem Erhabnen Geschenke dar! Er bricht der Gewaltigen Trotz, / Flößt der Erde Königen Schrecken ein.