< Zaburi 76 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
Au maître-chantre. — Avec instruments à cordes. — Psaume d'Asaph — Cantique. Dieu s'est fait connaître en Juda; Son nom est grand en Israël.
2 Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
Son tabernacle est à Salem, Et sa résidence à Sion.
3 Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
Là il a brisé les flèches rapides comme l'éclair. Le bouclier, le glaive et les armes de guerre. (Pause)
4 Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
O Tout-Puissant, tu surpasses en majesté Les conquérants les plus glorieux!
5 Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
Ils ont été dépouillés, les hommes au coeur fort; Et tous ces hommes vaillants n'ont plus retrouvé La vigueur de leurs bras.
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
A ta seule menace, ô Dieu de Jacob, Conducteurs de chars et coursiers ont été frappés de torpeur.
7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
Mais toi, tu es redoutable! Qui peut tenir devant toi, dès que ta colère éclate?
8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
Du haut des cieux, tu fais entendre; La terre est effrayée, et elle se tait,
9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
Quand tu te lèves, ô Dieu, pour juger. Pour délivrer tous les opprimés de la terre. (Pause)
10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
La fureur même de l'homme tourne à ta louange, Et ton propre courroux est le glaive dont tu restes armé.
11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
Faites des voeux, acquittez-les envers l'Éternel, votre Dieu; Que tous les peuples d'alentour viennent offrir Des présents à ce Dieu Redoutable!
12 Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Dieu abat l'orgueil des princes; Il est redouté par les rois de la terre.