< Zaburi 76 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
To the choirmaster with stringed instruments a psalm of Asaph a song. [is] known In Judah God in Israel [is] great name his.
2 Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
And it was in Salem lair his and den his in Zion.
3 Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
There he shattered flames of a bow shield and sword and battle (Selah)
4 Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
[are] lighted up You [are] majestic more than mountains of prey.
5 Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
They were plundered - [people] mighty of heart they slumbered sleep their and not they found all [the] men of strength hands their.
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
From rebuke your O God of Jacob [were] sleeping and chariot and horse.
7 Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
You - [are] to be feared you and who? will he stand before you from then anger your.
8 Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
From heaven you proclaimed judgment [the] earth it was afraid and it was quiet.
9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
When arose for judgment God to save all [the] humble [people] of [the] earth (Selah)
10 Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
For [the] anger of humankind it will praise you [the] remainder of anger you will gird on.
11 Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
Make vows and pay [them] to Yahweh God your all [those] around him let them bring a gift to the awesome one.
12 Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
He humbles [the] spirit of rulers [he is] to be feared by [the] kings of [the] earth.

< Zaburi 76 >