< Zaburi 75 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
Para o músico chefe. Ao som da música “Não Destruir”. Um Salmo de Asaph. Uma canção. We agradeça a você, Deus. Damos graças, pois seu nome está próximo. Os homens contam sobre suas obras maravilhosas.
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
When Eu escolho a hora marcada, Julgarei sem culpa.
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
A terra e todos os seus habitantes tremem. Eu seguro firmemente seus pilares. (Selah)
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
Eu disse ao arrogante: “Não se vanglorie”! Eu disse aos ímpios: “Não levantem a buzina”.
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
Não levante sua buzina no alto. Não fale com o pescoço duro”.
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
Para nem do leste, nem do oeste, nem ainda do sul, vem a exaltação.
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
Mas Deus é o juiz. Ele abaixa um, e levanta outro.
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
Pois na mão de Yahweh há um copo, cheio de vinho espumante misturado com especiarias. Ele a derrama. De fato, os ímpios da terra bebem e bebem até a sua própria borra.
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
Mas vou declarar isto para sempre: Vou cantar louvores ao Deus de Jacó.
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
Eu cortarei todos os chifres dos ímpios, mas os chifres dos justos devem ser levantados.