< Zaburi 75 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
Je kapina komui, Main Kot, je kapina komui, pwe mar omui me koren, o omui manaman akan kaloki jili due.
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
Pwe ni a anjau I pan wiada kapun pun.
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
Jap o tou a kan kin rerer; a I kin kolekol a ur akan.
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
I indan me aklapalap akan: Komail der aklapalap! O on me doo jan Kot akan: Komail der keleki omail manaman!
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
Komail der kaileilada mon omial, komail der kokaia jued ni omail aklapalap.
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
Pwe jota jauajpa jan ni maj en lan de kapin lan, de jan nana en jap tan.
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
Pwe Kot, me kin kadeikada, o me kin kajapwilidi amen, o kajapwilada amen.
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
Pwe dal eu mi nan lim en Ieowa, me dir en wain kelail, me a kotin kodidodie; a me doo jan Kot akan karoj nan jappa pan nim jan, o re pan nimala moroke.
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
A I pan padapadak kokolata, o kaulion Kot en Iakop.
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
I pan kawela mana en me doo jan Kot akan karoj, a mana en me pun kan pan kakairida.