< Zaburi 75 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
برای سالار مغنیان بر لاتهلک. مزمور و سرود آساف تو را حمد می‌گوییم! ای خدا تو راحمد می‌گوییم! زیرا نام تو نزدیک است و مردم کارهای عجیب تو را ذکر می‌کنند.۱
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
هنگامی که به زمان معین برسم براستی داوری خواهم کرد.۲
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
زمین و جمیع ساکنانش گداخته شده‌اند. من ارکان آن را برقرار نموده‌ام، سلاه.۳
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
متکبران را گفتم: «فخر مکنید!» و به شریران که «شاخ خود را میفرازید.۴
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
شاخهای خود را به بلندی میفرازید. و با گردن کشی سخنان تکبرآمیز مگویید.»۵
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
زیرا نه از مشرق و نه از مغرب، و نه ازجنوب سرافرازی می‌آید.۶
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
لیکن خدا، داور است. این را به زیر می‌اندازدو آن را سرافراز می‌نماید.۷
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
زیرا در دست خداوند کاسه‌ای است و باده آن پرجوش. ازشراب ممزوج پر است که از آن می‌ریزد. و امادردهایش را جمیع شریران جهان افشرده، خواهند نوشید.۸
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
و اما من، تا به ابد ذکر خواهم کرد و برای خدای یعقوب ترنم خواهم نمود.۹
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
جمیع شاخهای شریران را خواهم برید و اماشاخهای صالحین برافراشته خواهد شد.۱۰

< Zaburi 75 >