< Zaburi 75 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
Zborovođi. Po napjevu “Ne razori!” Psalam. Asafov. Pjesma. Slavimo te, Bože, slavimo i zazivamo ime tvoje, pripovijedamo čudesa tvoja.
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
“Kad odredim vrijeme, sudit ću po pravu.
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
Pa neka se strese zemlja sa stanovnicima svojim, ja sam učvrstio stupove njezine.”
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
Drznike opominjem: “Ne budite drski!” bezbožnike: “Ne budite tako rogati!”
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
Ne dižite roga svog protiv Neba, nemojte govoriti drsko na Boga!
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
Jer niti sa istoka niti sa zapada, niti iz pustinje niti sa bregova ...
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
Bog je koji sudi: ovoga snizuje, onog uzvisuje!
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
Jer je u Jahvinoj ruci pehar pun vina pjenušava, začinjena mirisnim travama; iz njega on napaja, do taloga će ga iskapiti i ispiti svi zlotvori svijeta.
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
A ja ću klicati dovijeka, pjevat ću Bogu Jakovljevu.
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
Rogove ću polomiti bezbožniku, a pravednik će podići glavu.