< Zaburi 75 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
Gode! Ninia da Dima nodone sia: sa! Ninia da Dima nodone sia: sa! Ninia da Di gasa bagade hou amo sisia: i laha. Dia noga: idafa hamoi liligi amo sisia: i laha.
2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
Gode da amane sia: sa, “Na da fofada: su eso amo ilegei dagoi. Amola Na da moloidafawane fofada: mu.
3 Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
Osobo bagade hisu da igugumu, amola esalebe liligi huluane da fofogomu. Be na da osobo bagade ea bai amo mae muguluma: ne ga: nasilisimu.
4 Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
Na da wadela: i hamosu dunu ilima, ilia da mae gasa fima: ne sia: sa.
5 Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
Ilia da ilia hidale sia: su yolesima: ne Na da sia: sa.”
6 Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
Fofada: su houdafa da gusudili o guma: dini o gadili (north) o la: idi gadili (south) amoganini hame maha.
7 Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
Be fofada: su dunudafa da Gode Hi fawane. E da dunu mogili se dabe lama: ne iaha amola mogili da moloiba: le, se dabe mae lama: ne fisiagasa.
8 Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
Hina Gode da fedege agoane faigelei ea loboga gagusa. Amo ganodini sali da gasa bagade waini hano ba: sa. Amo waini hano da fedege agoane Ea ougi bagade. E da amo sogadigili, amola wadela: i hamosu dunu da amo naha. Ilia da amo waini hano huluanedafa naha ebelesa.
9 Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
Be na da mae fisili, Ya: igobe ea Gode Ea hou eno dunuma sisia: i lale, Ema nodone gesami hea: lalumu.
10 Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
E da wadela: i hamosu dunu ilia gasa amo fifilisimu. Be E da moloidafa dunu ilia gasa amo fufugilisimu.

< Zaburi 75 >