< Zaburi 74 >
1 Utenzi wa Asafu. Ee Mungu, mbona umetukataa milele? Mbona hasira yako inatoka moshi juu ya kondoo wa malisho yako?
Gode! Di da abuliba: le amaiwane nini higale fisiagabela: ? Di da Dia fidafa dunu ilima eso huluane ougiwane dialoma: bela: ?
2 Kumbuka watu uliowanunua zamani, kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa: Mlima Sayuni, ambamo uliishi.
Dia fi dunu amo bu dawa: ma! Di da musa: hemonega Dia fi dunu Disu ili ilegele lai. Ilia da udigili hawa: hamonanu. Be Di da ili amoga fadegale, Dia fidafa esaloma: ne gadili oule asi. Di da musa: Saione Goumia esalu. Amo bu dawa: ma!
3 Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu, uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.
Saione Moilai Bai Bagade mugului amoba: le ososa: masa. Ninia ha lai da liligi huluane Debolo ganodini galu amo wadela: lesi dagoi.
4 Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi, wanaweka bendera zao kama alama.
Dima ha lai dunu ilia hasalasisa gugulubi da Debolo diasu ganodini nabi dagoi. Ilia da ilia hasalasu olelema: ne, ilia da ilia eso gosagisu amogawi bugi dagoi.
5 Walifanya kama watu wanaotumia mashoka kukata kichaka cha miti.
Ilia da ifa damusu dunuga ifa goaheiga damuni salabe, agoaiwane ba: su.
6 Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa kwa mashoka na vishoka vyao.
Ilia da ifa gaga: i huluane amo ilia goahei amola ha: ma bagade amoga gagoudane salasu.
7 Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu, wakayanajisi makao ya Jina lako.
Ilia da Dia Debolo wadela: lesili, laluga ulagisi. Ilia da sogebi amoga dunu da Dima nodone sia: ne gadosu, amo ledo hamone, wadela: lesi dagoi.
8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaponda kabisa!” Walichoma kila mahali ambapo Mungu aliabudiwa katika nchi.
Ilia da nini huluanedafa gugunufinisimusa: hanai galu. Hadigi sogebi huluanedafa Isala: ili soge ganodini galu, amo ilia da ulagili sali.
9 Hatukupewa ishara za miujiza; hakuna manabii waliobaki, hakuna yeyote kati yetu ajuaye hali hii itachukua muda gani.
Ninia sema dawa: digima: ne olelesu liligi huluane da asi dagoi, hame ba: sa. Balofede (Gode Sia: Alofesu dunu) afae yolesi da hamedafa. Amola dunu afaega amo hou dagomu eso hame dawa:
10 Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini? Je, adui watalitukana jina lako milele?
Gode! Habowali seda ninima ha lai dunu ilia da Diba: le oufesega: noma: bela: ? Ilia da eso huluane mae fisili gebewane Dia Dio gadela: loma: bela: ?
11 Kwa nini unazuia mkono wako, mkono wako wa kuume? Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako na uwaangamize!
Abuliba: le Dia da nini fidimu higabela: ? Abuliba: le Dia lobo da baligiagai ganabela: ?
12 Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani, unaleta wokovu duniani.
Gode! Di da osobo bagade hamoia amogainini, ninima Hina Bagade esalu. Di da eso bagohame nini gaga: lalu.
13 Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako; ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.
Di da Dia gasa bagade amoga hano wayabo bagade amo dogoa hedofalesi. Amola hano wayabo bagade ohe fi liligi ilia dialuma goudai.
14 Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani nawe ukamtoa kama chakula kwa viumbe vya jangwani.
Di da ohe bagade (Lefaiada: ne) ea dialuma sasalugufai amo goudanesili, ea da: i amo hafoga: i sogega ohe fi iligili moma: ne i.
15 Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito, ulikausha mito ambayo ilikuwa ikitiririka daima.
Di da hano bubuga: su amola gu hano masa: ne doasi. Di da hano bagade amo hale, hafoga: lesi.
16 Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia, uliziweka jua na mwezi.
Di da gasi amola hayo hahamoi. Di da eso amola oubi elea lelebe sogebi amoga sagasi.
17 Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia, ulifanya kiangazi na masika.
Di da osobo bagade ea alalo hamoi. Di da woufo amola ode i amo hahamoi.
18 Ee Bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki, jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako.
Be Hina Gode! Dima ha lai dunu ilia Dima ousa. Amola ilia Di hame dawa: amola Dima higasa. Amo Di bu dawa: ma.
19 Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu; usisahau kabisa uhai wa watu wako wanaoteseka milele.
Dia fi gasa hamedei dunu, ilia dodona: gi ha lai dunu ilima hasalasisa: besa: le, ili mae fisiagama! Dia fi dunu da enoga se bagade nababeba: le, amo mae gogolema.
20 Likumbuke agano lako, maana mara kwa mara mambo ya jeuri yamejaa katika sehemu za giza nchini.
Dia ninima sema gousa: su hamoi amo bu dawa: loma! Ninia soge amo ganodini, gasi dunasi la: idi bega: asili la: idi bega: , amo ganodini bidi hamosu amola wili gala: su fawane ba: sa.
21 Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu; maskini na wahitaji hebu walisifu jina lako.
Dia banenesi fi dunu mae gogosiama: ma! Amola hame gagui hahani dunu Dima nodone sia: ma: ma!
22 Inuka, Ee Mungu, ujitetee; kumbuka jinsi wapumbavu wanavyokudhihaki mchana kutwa.
Gode! Di wa: legadoma! Dia hou heda: ma: ne gaga: ma! Gode Ea hou hame dawa: dunu ilia hahabe asili daeya huluane Diba: le oufesega: sa, amo dawa: ma.
23 Usipuuze makelele ya watesi wako, ghasia za adui zako, zinazoinuka mfululizo.
Dima ha lai dunu ilia da Dima ougiba: le, mae fisili halalalebe, amo mae gogolema!