< Zaburi 72 >

1 Zaburi ya Solomoni. Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako, mwana wa mfalme kwa haki yako.
Para Salomón. OH Dios, da tus juicios al rey, y tu justicia al hijo del rey.
2 Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
El juzgará tu pueblo con justicia, y tus afligidos con juicio.
3 Milima italeta mafanikio kwa watu, vilima tunda la haki.
Los montes llevarán paz al pueblo, y los collados justicia.
4 Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Juzgará los afligidos del pueblo, salvará los hijos del menesteroso, y quebrantará al violento.
5 Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
Temerte han mientras duren el sol y la luna, por generación de generaciones.
6 Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa, kama manyunyu yanyeshayo ardhi.
Descenderá como la lluvia sobre la hierba cortada; como el rocío que destila [sobre] la tierra.
7 Katika siku zake wenye haki watastawi; mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.
Florecerá en sus días justicia, y muchedumbre de paz, hasta que no haya luna.
8 Atatawala kutoka bahari hadi bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.
Y dominará de mar á mar, y desde el río hasta los cabos de la tierra.
9 Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.
Delante de él se postrarán los Etiopes; y sus enemigos lamerán la tierra.
10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.
Los reyes de Tharsis y de las islas traerán presentes: los reyes de Sheba y de Seba ofrecerán dones.
11 Wafalme wote watamsujudia na mataifa yote yatamtumikia.
Y arrodillarse han á él todos los reyes; le servirán todas las gentes.
12 Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Porque él librará al menesteroso que clamare, y al afligido que no tuviere quien le socorra.
13 Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Tendrá misericordia del pobre y del menesteroso, y salvará las almas de los pobres.
14 Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.
De engaño y de violencia redimirá sus almas; y la sangre de ellos será preciosa en sus ojos.
15 Aishi maisha marefu! Na apewe dhahabu ya Sheba. Watu wamwombee daima na kumbariki mchana kutwa.
Y vivirá, y darásele del oro de Seba; y oraráse por él continuamente; todo el día se le bendecirá.
16 Nafaka ijae tele katika nchi yote, juu ya vilele vya vilima na istawi. Tunda lake na listawi kama Lebanoni, listawi kama majani ya kondeni.
Será [echado] un puño de grano en tierra, en las cumbres de los montes; su fruto hará ruido como el Líbano, y los de la ciudad florecerán como la hierba de la tierra.
17 Jina lake na lidumu milele, na lidumu kama jua. Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake, nao watamwita aliyebarikiwa.
Será su nombre para siempre, perpetuaráse su nombre mientras el sol dure: y benditas serán en él todas las gentes: llamarlo han bienaventurado.
18 Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa, yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.
Bendito Jehová Dios, el Dios de Israel, que solo hace maravillas.
19 Jina lake tukufu lisifiwe milele, ulimwengu wote ujae utukufu wake.
Y bendito su nombre glorioso para siempre: y toda la tierra sea llena de su gloria. Amén y Amén.
20 Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.
Acábanse las oraciones de David, hijo de Isaí.

< Zaburi 72 >